impelle
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 832
- 1,100
Kwa taarifa yako baada ya hii habari kuonekana twitter ndio watanzania wameenda kupiga kura za hasira Hadi Huyo raisi wa Ghana kupata hizo kura ni watanzania.
Magufuli alikuwa anaongoza kwa 90% kabla ya hizi taarifa kuonekana twitter. Nenda kwemye official twitter account ya waandaaji wa hiyo tuzo uone watanzania wanavyowashambulia.
Watanzania wangapi umewasiliana nao, wakakwambia wamepiga kura baada ya kuona Tangazo Twitter?