Yani endapo atashinda najionea vile watu tutanyanyasika na salamu za pongezi na headlines za media kila siku.Bora hata wangemweka Uhuru na Ramamphosa, hata kagame afadhali
Yani polepole anaweza akaita press conference kabisa, halafu aridhio ya tbccm itatamalaki hiyo madaYani endapo atashinda najionea vile watu tutanyanyasika na salamu za pongezi na headlines za media kila siku.
Hii haikubaliki kabisa, kwa wananchi tuliopitia na tunaojionea matendo ya hii awamu tutakuwa tumedhalilishwa na jamii ya kimataifa
Uwezo upi !?Uwezo wa kiuongozi hasa katika kuendesha/kusimamia taifa la kiafrica kama Tanzania. Kwa kipindi hiki, hakuna wa kumlinganisha naye.
wapo wengi but hawajitoi kama wabongoWest Africa wapo wengi na obvious watampigia Rais wa Ghana
Uwezo upi !?
Tunamzungumzia jiwe huyu huyu au kuna mtu mwingine !?
Yani, mzee wa vieite na sasa hv kapewa viyi maalumu anaweza kutangaza hata maandamanoYani polepole anaweza akaita press conference kabisa, halafu aridhio ya tbccm itatamalaki hiyo mada
Asante kwa kushiriki.Namzungumzia Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Kwa taarifa yako baada ya hii habari kuonekana twitter ndio watanzania wameenda kupiga kura za hasira Hadi Huyo raisi wa Ghana kupata hizo kura ni watanzania.kwa kigezo cha kupiga kura basi magufuli atashinda coz wabongo wanajitoa sana kuwapigia kura watu wao
We utakua polepole au Bashiru, sio bure
Yani watanzania hii 2021 hawataki ujinga kabisaaKwa taarifa yako baada ya hii habari kuonekana twitter ndio watanzania wameenda kupiga kura za hasira Hadi Huyo raisi wa Ghana kupata hizo kura ni watanzania.
Magufuli alikuwa anaongoza kwa 90% kabla ya hizi taarifa kuonekana twitter. Nenda kwemye official twitter account ya waandaaji wa hiyo tuzo uone watanzania wanavyowashambulia.
watanzania hao hao ndo wanampia kura rais wa ghana na watanzania hao hao ndo watampa ushindi magufuliKwa taarifa yako baada ya hii habari kuonekana twitter ndio watanzania wameenda kupiga kura za hasira Hadi Huyo raisi wa Ghana kupata hizo kura ni watanzania.
Magufuli alikuwa anaongoza kwa 90% kabla ya hizi taarifa kuonekana twitter. Nenda kwemye official twitter account ya waandaaji wa hiyo tuzo uone watanzania wanavyowashambulia.
Labda Kama uongozi ni mihemko na misifa ya kijinga.Watu wengine wanashangaza sana, eti uwezo wa kiuongozi khaa