Kifuniko
Member
- May 20, 2011
- 97
- 17
Kuna rafiki yangu hayupo JF ila ameniomba nimuombee ushauri, yeye anamhisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine na wanawasiliana kwa simu, je akienda ofisi za vodacom watamsaidia kuchapisha meseji wanazochat ? nitangulize shukrani kwa msaada wenu tumuokoe ndugu yetu