Vodacom yapunguza vifurushi vya wiki vya chuo

Vodacom yapunguza vifurushi vya wiki vya chuo

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,747
Zamani kwa tsh500 ulikuwa unapata 500MB. Wakabadilisha kwa Tsh500 ukawa unapata 500 Unit ambazo bado zikawa sawa na 500MB. Sasa hivi kwa Tsh 500 unapa 300 Unit ambazo ni sawa na 300MB kwa wiki. Kwa mwenendo huu yajayo yanatisha...
 
Mbona mm iko hiv
Screenshot_20180609-135446_1528541750204.jpg
 
Zamani kwa tsh500 ulikuwa unapata 500MB. Wakabadilisha kwa Tsh500 ukawa unapata 500 Unit ambazo bado zikawa sawa na 500MB. Sasa hivi kwa Tsh 500 unapa 300 Unit ambazo ni sawa na 300MB kwa wiki. Kwa mwenendo huu yajayo yanatisha...

Labda tuwasubiri Azam wanaweza kuwa waungwana zaidi
 
Back
Top Bottom