Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,260
Hivi upinzani ndio mnapiga kelele za kipuuzi hivi??? Hii nguvu tungetumia katika kupigia kelele ajira, ongezeko bodi ya mikopo, mishahara kupandishwa, mawazo ya kuleta viwanda sambamba na kuishaur serikali mawazo mbadala... Tungekuwa mbali kama taifa. Kutumika ni mbaya sana