Wacha usenge,jibu swali nililokuuliza.unajua maana ya kumiliki hisa kwenye kampuni?
Au unaleta mambo ya kushindwa kumtenganisha kati ya mangi na duka lake??
Wewe ni ------,nani kasema lowasa hana hisa voda?nimeuliza mnajua maana ya mtu kumiliki hisa naona mnajibu maswali ambayo hamjaulizwa,ndo mana wakasema elimu,elimu,elimu.
Kila kitu unalalamikia serikali hata mkeo /mpenz akiliwa uroda na jirani utailaumu serikali pia.... Kuna mitandao mingi tu yenye huduma bora kuliko hao voda kwani umelazimishwa kubaki hapo?