Vodacom wamepunguza MB, sasa ni MB 1

Vodacom wamepunguza MB, sasa ni MB 1

Itakuwa agizo la TCRA, soon na hao tigo na airtel watafatia
 
Airtel nao ni MB 2 ila msijali baba lao yupo (hallotel)keshaingia anawachora
 
Tigo nao ni mb 1 nisaidieni napata wapi halotel?
 
Yaani watu wanaikimbia Voda sababu ya mtu wa juzi tu Halotel
 
Wacha usenge,jibu swali nililokuuliza.unajua maana ya kumiliki hisa kwenye kampuni?
Au unaleta mambo ya kushindwa kumtenganisha kati ya mangi na duka lake??

Mseng mama yako na baba yako, shwain wewe na uhaya wako kujifany unajua kila kitu, nyoooooook
 
Wewe una elimu gani, jidanganye eti elimu bure.....
Tutolee usenge wako hapa

Wewe ni ------,nani kasema lowasa hana hisa voda?nimeuliza mnajua maana ya mtu kumiliki hisa naona mnajibu maswali ambayo hamjaulizwa,ndo mana wakasema elimu,elimu,elimu.
 
Hawa jamaa sijui mipango yao ipo vp,yan kutoka mb40 mpaka mb 8 na kutoka mb 8 mpaka mb 1,nahc serikali inataka kuwapunguza watu kutumia internet hasa katika kipindi hiki cha uchaguz then watarudi kulekule....btw nasikia Halotel wapo vizuri ile mbya,ni 3g kwa kwenda mbele.....nawasubiri
 
Hapa usipojiunga na kifurushi cha internet peke ake unachina hivihivi!!!!
 
Kama kuna mtandao uko vizuri kwenye mb nishitueni.
 
Unajua humu kwenye mitandao ya kijamii tunapata ukweli, elimu, changamoto kutoka kwa washirika mbalimbali. Sasa wanafikiria kupunguza mb. Tutashindwa kuwemo humu. Kwataarifa tu, kumbukeni sigara mmepandisha, bia watumiaji ndio wameongezeka. Mlipo tupo
 
Kila kitu unalalamikia serikali hata mkeo /mpenz akiliwa uroda na jirani utailaumu serikali pia.... Kuna mitandao mingi tu yenye huduma bora kuliko hao voda kwani umelazimishwa kubaki hapo?

Under free market economy serikali ndio referee ambaye role yake ni regulatory kwa kutumia agency wake kama TCRA, kama mdau ulichoandika hapo ulizingatia fact hii well and good..!

Ikumbukwe kua tz ni nchi ya dunia ya tatu ambapo serikali ina full authority ya kuregulate watoa huduma wasiumize walaji ambao ni sisi wananchi!
 
Niliwahi kusikia wenye hisa nyingi VODACOM ni wakina Rostam Aziz na Mufuruki makada wa CCM. Kama ndiyo hivyo unategemea pesa za kampeni zitoke wapi?
 
Back
Top Bottom