Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,387
- 21,367
Kama kawaida serikali ya ccm imelala usingizi. Halafu wanasema Hapakazituu, watu walio goigoi kifikra.
Kila kitu unalalamikia serikali hata mkeo /mpenz akiliwa uroda na jirani utailaumu serikali pia.... Kuna mitandao mingi tu yenye huduma bora kuliko hao voda kwani umelazimishwa kubaki hapo?