Vodacom wamepunguza MB, sasa ni MB 1

Vodacom wamepunguza MB, sasa ni MB 1

kibila

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
807
Reaction score
576
Ndugu zangu sasa naamini kuwa hii nchi imekuwa pango la walowezi na vibaka nashindwa kuelewa kwann VODA wametoa mb8 kwa sh 500 mpaka sasa mb1 serikali hii hovyo sana Mungu tusaidie tuitoe hii CCM madarakani.
 
Kwani voda ni ya serikali? Hawa Voda ni wahuni kitambo unaweza kujiunga dakika 15 ukipiga utaongea dakika 12 zinaisha . wengine mbona tulisha wakimbia mda mlefu.
 
Kama kawaida serikali ya ccm imelala usingizi. Halafu wanasema Hapakazituu, watu walio goigoi kifikra.
 
Nadhani Rostam na lowassa wanahusika kwa hili,wao wanamiliki hisa nyingi tu vodacom waulizeni
 
Ndio serikali ya ccm wawekezaji wanafanya wanachopenda endeleeni kuikumbatia mtakiona cha mtema kuni
 
Lowas ni mmoja kati ya wenye hisa vodacom, unadhani pesa ya kampeni anaipata vipi? Huyu jamaa hafai kabisa kuwa rais!!
Chagua magufuri, ni mwaminifu!!

Unajua kazi ya serikali ni nin katika hii mitandao??? Kama wao hawatimiz wajibu wao unatarajia nin????

Akili yako ni ndogo kama MB 1!!!
 
Kwani voda ni ya serikali? Hawa Voda ni wahuni kitambo unaweza kujiunga dakika 15 ukipiga utaongea dakika 12 zinaisha . wengine mbona tulisha wakimbia mda mlefu.

Ni nani anayesimamia chombo hiki kama si serikali ya Tanzania. Watakuwa wanafahamu majukumu yao, lakini kwa udhaifu wa TCRA wanakiuka taratibu, ndo maana unanunua dk 15 na unazotumia ni 12.
 
TCRA wanaacha kudhibiti haya maswala wanahangaika na post za wananchi mtandaoni.
Pombe isiende Ikulu
 
Siwalaumu Vodacom,

Mbona wana unlimited bundles za siku pia kuanzia 1000 kwa kima cha chini kama shida ni bundle tu? piga *149*01#

Ukiona vipi unahamia mtandao mwingine.
 
Bora watoe tu nahyo mb1 sasa inasaidia nn ikiwa mb8 tu ilikuwa hazitoshi hyo moja yakazi gan sasa
 
Back
Top Bottom