Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,990
- 46,695
jamani bonyezeni hiyo menyu muone kitakacho tokeaKwa hiyo ni kadi au unapewa no ya kadi,na kama ji kadi zinatolewa wapi? Mtuambie na faida zake
jamani bonyezeni hiyo menyu muone kitakacho tokeaKwa hiyo ni kadi au unapewa no ya kadi,na kama ji kadi zinatolewa wapi? Mtuambie na faida zake
Nadhani kuna kuna issue kwenye hizi card,Nimejaribu kuwasiliana na wafanyakazi wa vodacom but it seems hata wao hawana knowledge ya kutosha kwenye product zao,kwa kifupi wameshindwa kutatua tatizo langu,hivyo nimeamua kuendelea kutumia prepaid card yangu kufanya miamala.wakuu mm shida yangu nimeshindwa kujisajili nayo paypal msaada wenu Tafadhali
Hakikisha una salio kuanzia 5000wakuu mm shida yangu nimeshindwa kujisajili nayo paypal msaada wenu Tafadhali
Mi nimeitumia kulipia Netflix bila tatizo lolote
wewe umefanikiwa kwa kufanya ivo manHakikisha una salio kuanzia 5000
mkuu hizi card toka jana zina tatizo, kutoa salio zinagoma na kufanya miamala... Je wewe umejaribu kufanya miamala ndani ya hizi siku mbili ikakubali??....View attachment 867687
Ndio hapo kwenye kipengele namba Tano, ambapo utapata hii menu
View attachment 867688
Hapo unachagua kipengele namba mbili, Na utapokea salio lako ( within 5seconds). Niamehamisha tzs 2,000 wakati naandika hii msg.
View attachment 867689
View attachment 867690
Hapana.Je wewe umejaribu kufanya miamala ndani ya hizi siku mbili ikakubali??....
good news..service restoredHapana.
Kingine usichokijua ni kua hakuna raia hata 1 wa Tanzania anayetumia Bank ya tz au line ya tz kupokelea pesa aliyewahi kulipwakutia paypal. BOT hawajaruhusu wabongo tulipwe kwa paypal.Nili -link Mastercard yangu ya Vodacom Mpesa na Paypal kwa malengo ya kupokea pesa kutoka nje, kupitia mtandao wa Popads lakini sikufanikiwa.
Nikawasiliana na Vodacom huduma kwa wateja wakasema hivi
View attachment 1302753
Wakiwa na maana Hakuna huduma ya kupokea pesa kupitia Vodacom kutoka Paypal.
Lakini ile website ya Popads hapo awali walipojaribu kunitumia pesa ilishindikana. Tazama picha
View attachment 1302758
Huo ni ushahidi tosha kuwa hakuna uwezo wa kupokea fedha kutoka nje kwa njia ya Vodacom Mpesa ila utaweza kufanya manunuzi.
Njia ninayoitumia sasa kupokea fedha ni kupitia line ya Safaricom, wao wana Safaricom Mpesa ambayo inakubali kupokea na kutuma fedha.
BOT inongozwa na mazee ambayo hayajui dunia inaendaje yaani ptuu!Kingine usichokijua ni kua hakuna raia hata 1 wa Tanzania anayetumia Bank ya tz au line ya tz kupokelea pesa aliyewahi kulipwakutia paypal. BOT hawajaruhusu wabongo tulipwe kwa paypal.
Sent using Jamii Forums mobile app