only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Baada ya maafa ya meli kule Zanzibar,VODACOM kupitia kitengo chake cha VODACOM foundation waliendesha ule mchango kupitia kwenye simu,ambao ulikuwa unatuma neno msaada kwenda namba fulani(nimezisahau kwasasa) na kukatwa shs 1000 kwa kila sms...Na kwa kuwa serikali ya umoja wa kitaifa iligoma kupokea ule mchango wa VODACOM...naomba kuuliza,Je,pesa zetu ziko wapi?