donaldson don
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 624
- 415
Aiseeee Abuchi Bwachaaaaa
o akiri zinavyokutuma utaibiwa bwana wako na umsingizie magufuliMnamuomba Makufuli nini?
Hawa watu hawajui sera zake za hovyo ndio zinazoua biashara?
Kupandishwa kwa kodi kwa makampuni kumesababisha kupungua manunuzi ya muda na vifurushi pamoja na miamala,na biashara yao kuyumba
Kilicho kuwa kinafanya uchumi unapanda kwa 7% ni pamoja na mawasiliano ya simu sasa tusubiri takwimu za kupikwa