Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
- Thread starter
- #21
VPL, Yanayojiri viwanjani leo;
Mechi kati ya Polisi Tanzania na Mwadui FC imeahirishwa baada ya Uwanja wa Mwadui Complex kujaa maji
Mechi kati ya Lipuli FC na Ndanda FC imeahirishwa baada ya Uwanja wa Samora kujaa maji kutokana na mvua zinazonyesha.
Mechi kati ya Polisi Tanzania na Mwadui FC imeahirishwa baada ya Uwanja wa Mwadui Complex kujaa maji
Mechi kati ya Lipuli FC na Ndanda FC imeahirishwa baada ya Uwanja wa Samora kujaa maji kutokana na mvua zinazonyesha.