UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Leo nimechafukwa kupita maelezo!
Hivi nyie Vodacom Tanzania kwanini mnaniibia? Kwanini mnaniunga na huduma bila ridhaa yangu na kuanza kufyeka salio langu? Cha kusikitisha nilipowapigia watoa huduma wenu (customer care) wanasema eti nilijiunga na huduma inaitwa SOKA LETU, jamani Vodacom Tanzania mimi nina akili timamu sijawahi kujiunga na huduma hizi za ajabu ajabu maana najua zinagharimu pesa na sina pesa za kuchezea,simu yangu sijawahi kumpa mtu tangia huu mwaka uanze mpaka unaelekea kuisha,uenda mngesingizia kuna mtu nilimpatia simu akajiunga!!
Kujiunga na huduma hizi za ajabu ni process,hivyo sina muda huo wa kukaa na kuanza kujiunga na huduma za wizi hizi!.
KWANINI MMENIIBIA? KWANINI MMENIUNGA NA HUDUMA NA KUANZA KULAMBA SALIO LANGU BILA IDHINI YANGU?
Vodacom Tanzania tafadhali naombeni majibu, la sivyo hili litawagharimu! Na mmeendelea kuwaliza Watanzania wangapi kwa huduma za wizi hizi? Kwanini mnafanya hivi?
TCRA tafadhali naombeni msaada
Hivi nyie Vodacom Tanzania kwanini mnaniibia? Kwanini mnaniunga na huduma bila ridhaa yangu na kuanza kufyeka salio langu? Cha kusikitisha nilipowapigia watoa huduma wenu (customer care) wanasema eti nilijiunga na huduma inaitwa SOKA LETU, jamani Vodacom Tanzania mimi nina akili timamu sijawahi kujiunga na huduma hizi za ajabu ajabu maana najua zinagharimu pesa na sina pesa za kuchezea,simu yangu sijawahi kumpa mtu tangia huu mwaka uanze mpaka unaelekea kuisha,uenda mngesingizia kuna mtu nilimpatia simu akajiunga!!
Kujiunga na huduma hizi za ajabu ni process,hivyo sina muda huo wa kukaa na kuanza kujiunga na huduma za wizi hizi!.
KWANINI MMENIIBIA? KWANINI MMENIUNGA NA HUDUMA NA KUANZA KULAMBA SALIO LANGU BILA IDHINI YANGU?
Vodacom Tanzania tafadhali naombeni majibu, la sivyo hili litawagharimu! Na mmeendelea kuwaliza Watanzania wangapi kwa huduma za wizi hizi? Kwanini mnafanya hivi?
TCRA tafadhali naombeni msaada