Acha kutoa povu! Utumiaji wa mitandao unamanisha nini? Aietel unamanisha halotel au airtel? Kiufupi tu ni kuwa hujui unachongea na wala mimi sio mfanyakazi wa Voda na ninatumia mitandao yote unayoijua hapa Tanzania na uzoefu wangu umenionyesha watanzania wengi tu wajinga kwenye kuelewa technolojia inavyokwenda kwa hiyo sishangai watu kama wewe kwani wengi wetu tuko hivyo, watu walianza nikiweka hela inakatwa bila hata Kujua kuna mahuduma amejisubsribe bila kuijua, mara imekuja bundle linaisha bila kujiuliza nini kinatumia bundle yeye mbio mbio kwenye mitandao ya kijamii, unasema kaleta vithibitisho embu tuonyesha hivyo vithibitisho? Acheni biashara za kuchafua biashara za watu bila kujiridhisha mcholalamikia kimethibitishwa kitaalamu. Wewe na kinokia chako ndio unathibitisha kitaalamu! Wengine wanajiunga hata msg haijarudi keshaingia kwenye matumizi hela inaliwa dakika anasema bundle limeliwa yaani Tanzania ni nchi ambayo idadi ya wajinga ni kubwa kuliko nchi zote za africa mashariki na kati.