Vodacom na kujihusisha na siasa za Tanzania, ndio anguko lake la moja kwa moja?

Ungeandika kwa sentensi moja tu hizo porojo zako. Tatizo ni Serikali ya kifisadi ilisababisha maisha magumu ndio hayo yote uliyoandika yalikoanzia. Purely political course.
Wanaoshindwa kuelewa kwamba purchasing power kitaa ni almost zero , watu wanakula mlo mmoja siku hizi , hivyo vifurushi wapate ela wapi ya kununulia , nchi inanuka umasikini na misery + poverty . Mazoba wanafurahia kuwa wanyonge .
Ujinga ujinga Tu , idiots
 
Sio mshabiki wa mpira , ila Tim zetu ,wadau lazima kubadilika , tukifika mda tukawa na team za mpira ,ambazo zimejikita kimchezo Kama burudani na ajira na sio propaganda tutafika mbali, mfano Azam fc , wenda bado wanakuja KWA kasi ila mmiliki wao anajua anafanya nini

Michezo ni uchumi , Sasa watu waanze kua wanachama sawa ila pia KWA kununua hisa, hata kuanzia elfu moja , pesa nyingi ,michango mingi inaishia kwenye mashina chini ,tubadilike soga za kwenye vijiwe kupinga leo simba mshindi au yanga mshindi, weka mke,nyumba ,gari n.k KWA ubishano hatuta fika popote,

Endesheni Tim zenu kitahalam , kibishara ,Tim zitakua, na uwezo wa kununua mchezaji KWA gharama yoyote na matokeo chanya KWA Tim husika yatakuja KWA haraka, Zama zinaenda KWA kasi
 
Nlitaka tu kumpa taarifa mtoa mada kua hasara ya vodacom haitokani na mambo ya kisiasa ya kujihusisha na ccm so lets stop speculating things.

1. Vodacom is still the largest mobile service provider by subsribers mpaka dk hii tunavyoongea na sioni that number ikishuka ktk miaka 3 ijayo as amekua akiongoza tangu ameingia kwenye market.

2. Hasara inayopata vodacom imeikumba mitandao yote, na kila mtandao umekua na namna yake ya ku react to that loss. Tigo ame exit the market kwa kuuza kampuni, airtel ameuza minara yake ku balance vitabu vyake.

3. Hasara kwa mitandao ya simu kunatokana na kushuka kwa matumizi ya voice and sms na kuongezeka kwa matumizi ya data while bei ya data ikiwa chini, watu now wanatuma sms na kupiga simu wa whatsapp or telegram and the likes and has nothing to do with mambo ya kisiasa.huko vijijini watu wanajua vodacom hizi habari za sijui wanashirikiana na ccm mnajua wa mjini na mostly watu wa mitandao ya kijamii.

4. Kulinganisha faida za mabank na kampuni za simu si sahihi, hawa wapo kwenye market tofauti, you cant compare an apple to an orange, ukitaka kumlinganisha vodacom mlinganishe na othet players ktk industry yake.

5. Ni kweli Azam kachukua udhamini wa ligi ila je mnajua kua bei za ving'amuzi vya azam imepanda?

6. Mjitahidi kutafta taarifa sahihi kabla ya kuanza kutoka mapovu..
JF is a home of Great Thinkers lets keep it that way.
Uko sahihi mkuu.
 
Hai au domant, unaweza kuwa na wateja wengi lakn sio active, mimi nina line 2 za voda sizitumii nyie mnanihesabu shauri yenu nipo zangu halotell GB 3 kwa 3000 kwa week na dakika za mitandao yote kibaoo
Mke wangu ana laini mbili za voda ziko kwenye simu anapogiwa tu huu mwaka wa pili hajawahi kuweka hata vocha ya jero. Halotel ana laini moja kila mwezi vocha 20k
 
Vodacom ilishinikiza kupunguzwa kwa timu ligi kuu bara kutoka 20 mpaka 16 halafu leo wanakimbia kudhamini ligi kuu bara.

Kama walikuwa hawana uwezo kwanini walilazimisha timu zipunguzwe kutoka 20 na kuja 16?

Leo wanaikimbia ligi baada ya kuona haibu ya udhamini wa Azzam media ya billion 223.

Vodacom wameshindwa kufahamu kwamba tatizo sio Covid au usajili mpya wa line kwa kutumia mfumo wa alama za vidole Bali ni wa kuendelea kujiusisha na siasa uchwara za ccm miaka nenda miaka rudi.

Leo vodacom wanapata hasara ya billion 30 Mimi siwezi kushutuka hata kidogo na hasara uwenda ikaongezeka miaka ijayo sababu ni kapuni ambayo imekuwa ikiusishwa na ccm kwa muda mrefu.

Namba zake za simu uwa zinatumika na wateja wake hawalindwi kama ilivyokuwa kwa lile tukio la Ben saanane kutekwa huku akitumia line ya vodacom na alikuwa akiwasiliana na mtu mwenye line ya vodacom.

Sababu walizozitoa nyingi hazima mashiko kwamba eti kodi kubwa huu ni uongo na ni kutaka kuichafua serikali kwanini Tigo na airtel wamepata faida?

Kwanini NMB na CRDB wamepata faida?

Hoja yangu ni nini? Kuanguka kwa vodacom ni matokeo ya kujiusisha na siasa za ccm na kutumika kuilinda ccm badala ya wateja wake.

Watu wameisusi kwa sababu ni kampuni inayotoza gharama kubwa za mawasiliano kuliko makampuni yote.

Ukweli mchungu vodacom kama kampuni ya mawasiliano wamejisahau sana na kuwadharau wateja wake na kutokuwa na ubunifu hivyo watu wengi wanaacha kuitumia na kukimbilia mitandao mingine.

Nauliza tu swali ilikuwaje vodacom arusha wakaenda makamani kutoa ushahidi huu ya mteja wao?

Ukweli unabaki pale pale kwamba vodacom kama kampuni ya simu walitoka kwenye misingi yao ya kuanzishwa na kuanza kuingia kwenye siasa sasa watanzania wameisusia

Ukweli tulio wengi tunazo line za vodacom lakini hatuweki tena salio.

Naomba liwe fundisho kwa makampuni mengine na watu wote wanaohitaji watanzania muda Fulani wawasapoti katika kazi zao waache kujiusisha na siasa za ccm au vyama vingine wajikite kutetea haki na kulinda maslahi ya watanzania.

Bado wana muda wa kurudi kwenye misingi na kusikiliza wateja na kuweka huduma kwa kujali kila kipato cha mtanzania na sio kuwa mtandao wa ubaguzi na kufanya kazi na matajiri.
Hahaha,
Kwenye suala la makampuni ya simu huwezi kuchomoka hata kidogo kwani hakuna kampuni yeyote ambayo itaweza kukataa amri ya serikali pale watakapotaka watoe ushirikiano.

Angakia wamiliki wa hayo makampuni ukiondoa Vodacom:

Tigo = Zamani Manji na sasa Rostam Aziz
Airtel = Mali ya serikali na Bharti
Halotel = Mali ya wa Vietnam, waliletwa na chama
TTCL = Mali ya Serikali
 
Ungeandika kwa sentensi moja tu hizo porojo zako. Tatizo ni Serikali ya kifisadi ilisababisha maisha magumu ndio hayo yote uliyoandika yalikoanzia. Purely political course.
Mwenzio kaandika kwa data ila wewe umeandika kwa porojo
 
Mleta mada anataka kuwaamisha watu kwamba vile vikampeni vyao uchwara vya kususia laini za voda ndio vimeazaa haya?

Kwa taarifa yako hata hao viongozi wako waliohamasisha hayo muda huu laini zao za voda ziko hewani
 
Mleta mada anataka kuwaamisha watu kwamba vile vikampeni vyao uchwara vya kususia laini za voda ndio vimeazaa haya?

Kwa taarifa yako hata hao viongozi wako waliohamasisha hayo muda huu laini zao za voda ziko hewani
ndio ukweli huo. Watu kibao wana laini za voda ika hawanunui vocha. Fanya utafiti wako binafai mtaani kwako huko uswazi uje na majibu
 
Hahaha,
Kwenye suala la makampuni ya simu huwezi kuchomoka hata kidogo kwani hakuna kampuni yeyote ambayo itaweza kukataa amri ya serikali pale watakapotaka watoe ushirikiano.

Angakia wamiliki wa hayo makampuni ukiondoa Vodacom:

Tigo = Zamani Manji na sasa Rostam Aziz
Airtel = Mali ya serikali na Bharti
Halotel = Mali ya wa Vietnam, waliletwa na chama
TTCL = Mali ya Serikali
ndio maana tunasema watajijua hayatuhusu. Chama chao kitawapa ruzuku. Au wanaishia kutumika tu?
 
ndio ukweli huo. Watu kibao wana laini za voda ika hawanunui vocha. Fanya utafiti wako binafai mtaani kwako huko uswazi uje na majibu
Wanafanya hivyo kwasababu wanaogopa taarifa zao kudukuliwa kama anavyosema mleta mada?
 
Unajua Voda ina wateja kiasi gani mkuu?
Kua na wateja sio sababu mbona mm na line ya vodacom lkn naitumia kwa kupokea sm tu sijawahi kuweka vocha wala kuunga kifulushi chochote kwa maana hiyo unaweza kua na wateja wengi lkn kimapato ukazidiwa na mtu mwenye wateja wachache
 
Wee chekelea tu wenzio wana-underdeclare ili Vodacom iuzwe kwa bei chee! Mama Samia hapa anahitaji kuitisha ukaguzi wa hali ya juu! Siwezi kuamini ati leading Vodacom imepata hasara! Kwa taarifa yako Safaricom inataka sana kununua Vodacom Tanzania na JPM alikuwa kizingiti!
 
Kua na wateja sio sababu mbona mm na line ya vodacom lkn naitumia kwa kupokea sm tu sijawahi kuweka vocha wala kuunga kifulushi chochote kwa maana hiyo unaweza kua na wateja wengi lkn kimapato ukazidiwa na mtu mwenye wateja wachache
Nimesema wateja kwanini wewe ni mteja?
 
Back
Top Bottom