Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,863
Mimi ni wakala wa Mpesa.
Leo kuna mteja kaja kutoa pesa, kabla ya kutoa pesa salio lilikuwa ni 1,183,900.
Baada ya mteja kutoa 3500 salio likawa ni 1,183,000.
Hapo kuna pungufu ya 900+3500=4400.
Nimejarbu kuwapigia simu. Wamenijibu kuwa hawaoni tatizo lolote.
Acheni wizi. Nirudishieni pesa zangu.
====_==================
Inaonekana kuna watu Hesabu za kutoa na kujumlisha zinawasumbua sana.
Ok!
Ni hivi kabla mteja kutoa
pesa salio lilikuwa Milioni
moja mia themanini na tatu
elifu na mia tisa i.e
1,183,900.
Baada ya mteja kutoa pesa,
Salio likapungua na kuwa
Milioni moja na mia
themanini na tau elifu i.e
1,183,000.
Ingepaswa iwe hivi:
Baada ya mteja kutoa pesa
ingepaswa salio langu
liongezeke kwa kiasi
alichotoa i.e 3500
Salio jipya lingekuwa
1,183,900+3500=1,187,400.
Baada ya mteja kutoa pesa:
Baada ya mteja kutoa pesa
salio langu jipya likawa ni
1,183,000
Ikiwa na maana kuwa
wamekata 900 ktk salio la
mwanzo + 3500 aliyotoa
mteja
NB.
Nilipokea sms kuwa mteja
ametoa 3500.
Nadhani nimeeleweka.
=======================~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Vija JF, topic closed.
Tatizo limekwisha, ilikuwa
hivi.
Mwanzo kabisa salio
lilikuwa ni 1,132,500.
Kuna mteja akatoa 47000,
Salio jipya likawa ni
1,183,900 badala ya
1,179,500. Ikiwa na maana
kuwa kuna ongezeko la
4400. Hili si kulitambua- Ni
rahisi kugungundua
pungufu kuliko nyongeza.
Hizo ni tabia za kibinadamu
tu.
Baada ya Mteja mwingine
kutoa 3500 nikaona kuna
pungufu ya 4400. Hatua ya
kwanza, niliwapigia
Vodacom customer care,
hawakuwa na jibu sahihi.
Nilipiga zaidi ya maramoja:
Hawakuwa na jibu sahihi.
Nashukuru baada ya
kuweka bandiko langu
hapa. Voda wanekuja,
tumewasiliana na kutrace
tatizo lilipo na kuondoa
wasiwasi.
Matokeo:
Inavyoonekana kuna mteja
alijarbu kutoa pesa kwangu
kiasi cha 4400. Pesa
haikutoka, ila kwangu
iliongezeka. Baada ya muda
pesa ilirudi kwake na
akaitoa kwa Wakala
mwingine.
Poleni sana kwa usumbufu
uliojitojeza, ila
mmeyasababisha wenyewe
na Kitengo chenu cha
Huduma kwa Wateja
kushindwa kunipa jibu
sahihi.
Asanteni sana.
Mingu ibarki Jamii Forum
Leo kuna mteja kaja kutoa pesa, kabla ya kutoa pesa salio lilikuwa ni 1,183,900.
Baada ya mteja kutoa 3500 salio likawa ni 1,183,000.
Hapo kuna pungufu ya 900+3500=4400.
Nimejarbu kuwapigia simu. Wamenijibu kuwa hawaoni tatizo lolote.
Acheni wizi. Nirudishieni pesa zangu.
====_==================
Inaonekana kuna watu Hesabu za kutoa na kujumlisha zinawasumbua sana.
Ok!
Ni hivi kabla mteja kutoa
pesa salio lilikuwa Milioni
moja mia themanini na tatu
elifu na mia tisa i.e
1,183,900.
Baada ya mteja kutoa pesa,
Salio likapungua na kuwa
Milioni moja na mia
themanini na tau elifu i.e
1,183,000.
Ingepaswa iwe hivi:
Baada ya mteja kutoa pesa
ingepaswa salio langu
liongezeke kwa kiasi
alichotoa i.e 3500
Salio jipya lingekuwa
1,183,900+3500=1,187,400.
Baada ya mteja kutoa pesa:
Baada ya mteja kutoa pesa
salio langu jipya likawa ni
1,183,000
Ikiwa na maana kuwa
wamekata 900 ktk salio la
mwanzo + 3500 aliyotoa
mteja
NB.
Nilipokea sms kuwa mteja
ametoa 3500.
Nadhani nimeeleweka.
=======================~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Vija JF, topic closed.
Tatizo limekwisha, ilikuwa
hivi.
Mwanzo kabisa salio
lilikuwa ni 1,132,500.
Kuna mteja akatoa 47000,
Salio jipya likawa ni
1,183,900 badala ya
1,179,500. Ikiwa na maana
kuwa kuna ongezeko la
4400. Hili si kulitambua- Ni
rahisi kugungundua
pungufu kuliko nyongeza.
Hizo ni tabia za kibinadamu
tu.
Baada ya Mteja mwingine
kutoa 3500 nikaona kuna
pungufu ya 4400. Hatua ya
kwanza, niliwapigia
Vodacom customer care,
hawakuwa na jibu sahihi.
Nilipiga zaidi ya maramoja:
Hawakuwa na jibu sahihi.
Nashukuru baada ya
kuweka bandiko langu
hapa. Voda wanekuja,
tumewasiliana na kutrace
tatizo lilipo na kuondoa
wasiwasi.
Matokeo:
Inavyoonekana kuna mteja
alijarbu kutoa pesa kwangu
kiasi cha 4400. Pesa
haikutoka, ila kwangu
iliongezeka. Baada ya muda
pesa ilirudi kwake na
akaitoa kwa Wakala
mwingine.
Poleni sana kwa usumbufu
uliojitojeza, ila
mmeyasababisha wenyewe
na Kitengo chenu cha
Huduma kwa Wateja
kushindwa kunipa jibu
sahihi.
Asanteni sana.
Mingu ibarki Jamii Forum