BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,213
- 4,165
Kwa kuongezea nami naomc kueleweshwa namna faida inavyopatikana kwa uwakala wa mpesa, tigo pesa ama airtel money maana ninaplan kua wakala siku za usoni.
...Naona Mkuu Mzee baada ya tatizo lake kupata Ufumbuzi amesepa bila kutupa Ushauri tuliomuomba! Sijui ndio yale mambo yetu yalee ya kiafrika ya ukitaka ushauri wa kujiunga na biashara ya Daladala kutoka kwa mfanya biashara wa Daladala anakushauri kuwa KAMWE usijiunge nayo Itakupa Ugonjwa wa Moyo...ambao yee mwenyewe haupati!! kaazi kweli kweli...🙂