Najua utakuja,ngoja nikakuandalie pa kufikia wakati utakapo wadia..
Kuna jamaa yangu alikuwaga uko ila alifariki iyo issue kwake robo saa nyingi tena bila rushwa.
Waibukie ofisini kwao
Ooops. Sorry kwa jamaa yk. Nishasaidika mkuu. Tena hapa2 dk 0
liwalo na liwe eeeeeh???? uje tena hapa unatoa machozi na title "Wadau nisaidieni"..liwalo na liwe..
wazee wa next...next...kila jibu yeye anaweka 1 na kutuma...
wazee wa next...next...kila jibu yeye anaweka 1 na kutuma...
..experience is always the best teacher,naenda zangu....liwalo na liwe eeeeeh???? uje tena hapa unatoa machozi na title "Wadau nisaidieni"
Pole sana,mimi pia nilikuwa natuma pesa Bank kutoka MPESA sasa wiki moja sasa mpaka leo Pesa hazijafika kwenye Account yangu nimejaribu kufuatilia Vodashop Mtaa wa Samora mpaka leo nazungushwa kwakweli ni aibu kubwa kwa Kampuni ya Vodacom.Kwa sasa sitatumia tena huduma yao ya MPESA hadi watakaporudhisha Pesa zangu.habari ndugu zangu. Naomba kwa ambae lilishawahi kutokea hili kwake anisaidie nijue kama natendewa haki na Vodacom Mpesa.
Tarehe 3.3 nilikua natoa pesa bahati mbaya nikakosea nikatuma kwa namba tofauti ya wakala. Nililipoti tatizo cku hyo2 wakanambia ndani ya masaa 24 ntakua nimerudishiwa pesa yangu. Kinachonisikitisha mpk leo pesa yangu haijarudishwa nikiwapigia wanasema wakala hapokei cm.. Ndg zangu hv inaingia akilini wiki 2 inaenda ya 3. Vodacom wameshindwa kunisaidia eti wakala hapokei cm? mbona ikitokea mteja wa kawaida katumiwa pesa kimakosa huwa wanablock acc yake? Jamani nifanyeje nipate haki yangu kwa wakati? uhuni huu nimeshindwa kuvumilia. thanx for ur constructive advice. May God bless u.