Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Kwanini wasitoe angalau million Moja Moja Kwa watu karibia 25000 hao zikawasaidia katka harakati zao za maisha,hizi mia mia wanazotoa dah.
 
Kwa post za nyuma, nilishauri kuwa, hiyo hela wangejenga kituo/vituo vya watoto yatima na kuitumia kuviendesha Ingekuwa na manufaa zaidi kuliko hizo 50, 100, 250 wanazo wapa wateja ambazo hata haziwasaidii au niseme hazima impact kwenye soko lao/kuvutia wateja
Au pengine waendeshe mashindano ya wazo la biashara na kugawa 10Mil kwa kila mshindi ambapo watu wengi wangepata mitaji. Namaanisha kwa hizo hela, watu zaidi ya 2000 wangepata mtaji hivyo kuleta manufaa makubwa kwa jamii lakini pia kuvutia wateja kwani naamini watu kwa mamilioni wangejiunga/wangehamia VODA!
 
Nikweli mkuu kuliko kugawa kidogo kidogo
Kwa post za nyuma, nilishauri kuwa kuwa, hiyo hela wangejenga kituo/vituo vya watoto yatima na kuitumia kuviendesha Ingekuwa na manufaa zaidi kuliko hizo 50, 100, 250 wanazo wapa wateja ambazo hata haziwasaidii au niseme hazima impact kwenye soko lao/kuvutia wateja
Au pengine waendeshe mashindano ya wazo la biashara na kugawa 10m kwa kila mshindi; watu wengi wangepata mitaji; Masharti ya ushiriki lazima awe mmiliki HALALI wa laini HAI ya voda kwa angalau mwaka mmoja....
 
Nikajua 25 inamaanisha billion 25.....🤣🤣🤣..... Au nimeingia Chaka mkurugenzi?🤣🤣
Khaaa 25 cent mkuu...
Ndo mana kuna mdau juu hapo kasema an ukiona umepewa 200 shilingi ujue wewe ni mteja wa miaka hata 30
 
Wamenipa 7,387/= nikawa sielewi kumbe ni gawio aah Voda unyama sana
 
Khaaa 25 cent mkuu...
Ndo mana kuna mdau juu hapo kasema an ukiona umepewa 200 shilingi ujue wewe ni mteja wa miaka hata 30
Kwa kweli aisee.... Yaani hii mitandao hawana shukrani kabisa pamoja na tunavyonunua mabando kwao....
 
Back
Top Bottom