Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Billion 28 si zinagawiwa kwa wanahisa wanaomiliki hisa za Vodacom?
Kama wewe ni mtumiaji tu wa mtandao huo wa Vodacom huna hata hisa moja unayomiliki unalipwa kwa nini wakati Vodacom inafanya biashara? 😳
 
Mimi nimefikia kiwango cha mwisho kuweka pesa (10m), napataje hilo gawio?
 
Screenshot_20250624-024600.jpg
hawa YAS ndio walinifanyia mambo ya kueleweka
 
Pesa zao hao jamaa huwa hazizidi buku.

Yas huwa wananipa offer mara nyingi nyingi, mara umekula mb, mara dakika , mara sms ila voda makauzu kweli.
 
Na wakina sisi hatujawahi kufanya ata mihamala ya voda gawio halituhusu yani unaweza kupata 1 Tsh😁
 
Back
Top Bottom