Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Vodacom kumwaga mabilion kwa wateja wake

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,581
Reaction score
10,110
Kampuni ya simu ya mawasiliano ya Vodacom imetangaza kugawa bilion 28 kwa wateja wake nchini. Fedha hizo zitaenda moja kwa moja kwa wateja watumiaji wa mpesa na na huduma nyingine za vodacom.

Fedha yako utafanyia nini mdau utakapopokea Gawio
1750951169927.jpg
 
Huu mtandao nimeutumia tangu 2006 mpaka Sasa sijawahi kuona hiki unachosema.... hata gawio la Tsh 1000 sijawahi kuona... Ni vile nawapenda tuu....

Inasikitisha sana....
Kwa mwaka unafanya transactions ya shngp mkuu
 
Huu mtandao nimeutumia tangu 2006 mpaka Sasa sijawahi kuona hiki unachosema.... hata gawio la Tsh 1000 sijawahi kuona... Ni vile nawapenda tuu....

Inasikitisha sana....
Mimi napataga ila haijawahi kuzidi 1500
 
Kabisa tsh 20/= unauliza nitafanyia nini😟
 
Huu mtandao nimeutumia tangu 2006 mpaka Sasa sijawahi kuona hiki unachosema.... hata gawio la Tsh 1000 sijawahi kuona... Ni vile nawapenda tuu....

Inasikitisha sana....
Inategemea unatumiaje MPESA kama unatuma mara chache sana na hela kiduchu duchu ndio maana huoni mimi kuna wakati nilipata shillingi 2000 hizi ni nyingi sana kitu cha bure
Pia kuna wakati nilitumia transaction ya millions kupitia simbanking walivyo wajanja hawakunipa hela wakanipa muda wa maongezi wa shillingi 9000
Na huwezi zigeuza kuwa pesa
Nikawaza angalau wangeweka option hizo 9000 kuwe na uwezekano ule wa kujirusha hiyo hamna
Kumbuka this is business
 
Kampuni ya simu ya mawasiliano ya Vodacom imetangaza kugawa bilion 28 kwa wateja wake nchini. Fedha hizo zitaenda moja kwa moja kwa wateja watumiaji wa mpesa na na huduma nyingine za vodacom.

Fedha yako utafanyia nini mdau utakapopokea GawioView attachment 3384743
Hii hela watulipie madeni ya Mpawa, songesha na mgodi sasa
 
Back
Top Bottom