pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,847
- 2,738
Km inakuuma chomoa
Kinachofanywa na yanga Ni chakimsimamo na kinafaa kuigwa na waaafrica wote mbele ya mabeberu
Vodacom nembo wanayotumia ni moja Tanzania nzima .Umejuaje kama hawajasajili?
Acha ushamba hii jezi sio ya Dar es salaam Young Africans?Vodacom nembo wanayotumia ni moja Tanzania nzima .
Jiulize kati ya Yanga na vodacom nani anamuhitaji mwenzake zaidi? Kila team ya inapata shillings ngapi kwao mwaka?ukipata majibu utakuwa umepata majibuMsimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.
Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.
Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.
Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.
Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Tatizo siyo rangi. Tatizo ni fedha.Hivi hilo linembo la njano na weusi ndio la Vodacom?
.
Vipi ikitokea TOTAL wakaanza kudhamini mashindano ya champions league watakataa kuvaa pia logo yao?
Mngekuwa na academy ndio ungesema namba moja wanatoka Simba, watu wanakuja wakubwa halafu unasema wametokea Simba?WANAYANGA WOTE HAMJAWAHI KUVAA NGUO YENYE RANGI NYEKUNDU? ACHENI USHAMBA
Hatujawahi, ila Simba wamevaa njano na kijani, kama unabisha muulize Aden Rage na Profesa Kapuya, wakiwa CCM wanavaa Yanga, wakiwa Simba wanasema hawataki njano! Rangi za Yanga hazikwepeki.WANAYANGA WOTE HAMJAWAHI KUVAA NGUO YENYE RANGI NYEKUNDU? ACHENI USHAMBA
Yanga wamevaa nyeupe...Hatujawahi, ila Simba wamevaa njano na kijani, kama unabisha muulize Aden Rage na Profesa Kapuya, wakiwa CCM wanavaa Yanga, wakiwa Simba wanasema hawataki njano! Rangi za Yanga hazikwepeki.
50 billion kwa timu gani?Tatizo siyo rangi. Tatizo ni fedha.
Voda wangemwaga 50bn kwa Yanga, wangevaa hata jezi ya pinki. Total wanatoa hela nzuri na wachezaji wanakuwa more exposed.