Vodacom kukubali ombi la Yanga ni zaidi ya udhaifu ktk biashara

Kuna tofauti baina ya utashi na wajibu. Yanga haina utashi wa kuvaa jezi wasiyoipenda. Lakini ina wajibu wa kuivaa kwa sababu ni mwanachama wa TFF iliyoomba udhamini wa Vodacom. Kikubwa ambacho Yanga ingeweza kufanya ni kukataa kuwa nembo hiyo sambamba na kukataa maslahi yote yanayotokana na udhamini wa Vodacom. Ila hilo nalo lingeweza kuwafanya Vodacom kufikiria upya thamani ya Mkataba mzima, sambamba na TFF kuiadhibu Yanga kwa kosa la kutia mchanga kitumbua.
Umesema point.
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Simba mna matatizo sana, kuna sample nyingi zenye rangi tofauti za nembo si nyekundu pekee!
Idiot!!!!
 
Msimamo ni mzuri ila wanachosimamia ni nonsense
Non sense kivipi wakati katiba hairuhusu, jifunzeni kuheshimu taratibu zilizowekwa

shida yenu simba mmejiwekea mindset kila wanachofanya Yanga mnapinga mnaona ni uadui, yaani bongo shida kweli.!
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
VP NA KWENYE NEMBO YA CAF?
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Udhamini wa Voda kwenye mpira ni kuboesha biashara yao.
Watapima kipi kitaimarisha biashara kati ya kukubali Yanga itumie nembo yenye rangi za club au waishurutishe Yanga kuweka rangi nyekundu.
Nini impact ya kuilazimisha Yanga? Uamuzi wao utakuwa based kwenye jibu la swali hilo.
 
Hili suala limenifanya nigundue wengi hatuwezi chambua mambo tukiwa n bongo huru kila naye msikiliza, msoma wote hoja zile zile (za tff)

unaleta mifano ya afrika kusini ama ulaya ambao wana historia tofauti kabisa na sisi (yanga na simba)

utani wa jadi wa simba na yanga ndo chimbuko la msimamo mkali wa yanga kukataa alama nyekundu (kwa yanga kukubali hili ni sawa na kumnyeyekea simba kwa Tanzania)

mtu anakupa mfano mbona Simba alivaa njano kule CAF (kule ni nje ya ligi yetu hata angevaa jezi nzima yanga hana cha kutambia si ligi yake ile, CAF si nyumbani kule) leo atokeaa mdhamini nyumbani amwambie simba aweke nembo ya njano/kijani uone kama atakubali

kama manara aliapa kuvaa jezi ya jagwani na akashindwa fanya ivo, ama mh. jokate kuvaa ya simba. leo mnaleta stori za timu za kibwege ambazo hazina historia ya utani wa jadi

ukifatilia kati ya dabi 5 kubwa afrika yanga na simba zimo si kwa sababu ya tunaujua mpira hapana kwa sababu kama izi watu wapinzani kweli si uwanjani hadi rangi yaani leo kibwege yanga uweke doa jekundu.

Nenda wingereza kamuone man u na liva kwa nini hawauziani wachezaji hata iweje ndo huku na sisi wachezaji tunanunua kwa kudhoofishana ila kuchafua jezi kwa kuweka hata kipande cha rangi ya mpinzani wako haiwezekani.

hayo ya biashara utajua ww ila voda lazima wakubali tu (historia ndo inataka ivo) sio yanga

mnapo chambua hili mtazame na misingi ya utani wa jadi wa miaka 83 ya uwepo wa timu hizi sio stori za kibwege et ulaya nani alivaa alama gani nani alifanya nn? tunatofautiana "itikadi: kama ambavyo man liva hawauziani wachezaji (hamshangai) ndo yanga hatuwez tia doa jekundu.
 
Hivi tukiwa wakweli Vodacom wanafaidika na kudhamini ligi kuu? au ni hisani tu wanafanya.
Ingawa sijui ila nadhani matangazo ya vipindi vya runinga yanamanufaa kwao zaidi.....
 
Kuna kitu Yanga wanacheza tu na akili za mashabiki wao ili waonekane wana msimamo! Vodacom wameanza msimu huu pekee kudhamini ligi? Walishadhamini huko nyuma na madai haya walikuwa nayo na vodacom walijua hilo walishajiandaa kuweka log nyeusi ktk jezi zao,hizi mbwembwe tu za kujifanya wao ndio wamekataa,wachezaji wao wanavaa viatu vyekundu mbona? Yanga wacheze mpira waache mbwembwe za kishamba! Hata wasingeanza longo longo la kusema hawavai logo nyekundu vodacom walishajua na kuandaa kwani sio geni walishawah kukataa msimu flan na zikabadilishwa
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Nembo ya Vodacom ingekuwa ya kijani au njano mngekubali nyie mikia?
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Harafu we jamaa wa kwetu kabisa,ila unazingua. Tuache na msimamo wetu wikolo. Ahahahaaaa.
 
Kuna kitu Yanga wanacheza tu na akili za mashabiki wao ili waonekane wana msimamo! Vodacom wameanza msimu huu pekee kudhamini ligi? Walishadhamini huko nyuma na madai haya walikuwa nayo na vodacom walijua hilo walishajiandaa kuweka log nyeusi ktk jezi zao,hizi mbwembwe tu za kujifanya wao ndio wamekataa,wachezaji wao wanavaa viatu vyekundu mbona? Yanga wacheze mpira waache mbwembwe za kishamba! Hata wasingeanza longo longo la kusema hawavai logo nyekundu vodacom walishajua na kuandaa kwani sio geni walishawah kukataa msimu flan na zikabadilishwa
huna unalo jua, aliye anza sarakasi za kuvaa logo ni tff sio yanga sasa wewe unabwabwaja kama vile yanga ndo wameanza kugomea (walisha goma huko nyuma na voda wakawaelewa)

ivi kiatu ni sare ya timu we kweli dishi limeyumba
 
Msimamo wa yanga kwa sasa ni kutoitambua nembo ya mdhamini kampuni ya Vodacom Tanzania kutokana na rangi zake nyeupe na nyekundu.

Ni wazi hii imeleta mtafaruku tangu msimu uliopita.Nembo ya vodacom nyekundu na nyeupe ndiyo nembo yao ya biashara inayotambulisha kampuni hiyo siyo maneno.
Ikiwa vodacom watakubali kuibadili nembo hiyo kwa matakwa ya wanayanga ni wazi mdhamini atakuwa hawakilishwi wala kutangazwa na yanga bali yanga watakuwa wanatangaza kitu kingine tofauti kinachoshabihiana na nembo ya vodacom ila hakika hakitakuwa nembo ya vodacom.

Ifike hatua TFF waheshimu mikataba wanayoingia na wadhamini na timu pia ziheshimu nembo za kibiashara za wadhamini wao.
Kitu kinachotaka kufanyika kwa yanga ni cha kipekee duniani hakipo mahali popote ktk ulimwengu wa soka duniani na ktk biashara na sheria za mikataba.View attachment 1201454
Hebu soma hii ya Baba Kendrick Jr.
Kuna vitu vinashangaza pale ndani ya TFF, Sijaelewa wanaongozwa na sheria au mihemko yao binafsi......
Sheria ya fifa ya Mwaka 1997 inazilinda tamaduni za teams au leagues zidi ya Mdhamini .
Fifa hawakuwa wapuuzi waliliona hili mapema ndiyo maana wakaipitisha sheria hii kitaalamu inaitwa " International Sports Law and Business · Law" 1997.
Sheria hii inamtaka muwekezaji kuheshimu tamaduni za leagues au teams nanukuu "Each team or league has a separate set of rules with respect to the use of team-identified ... provided by teams or leagues to their sponsors - frequently contain rules for color, shape, ..."
mwisho wa kunuku.
Huu ulazima wa karia kwa Yanga unatokea wapi? Au ni ubabe tu anaoufanya kwa Yanga? Vodacom yampasa kuheshimu tamaduni za teams zinazoshiriki league kuu.
Ipo mifano mingi ya team na wadhamini ambao wanakinzana kwenye rangi na mdhamini kuheshimu tamaduni ya team husika.... Liverpool hutumia rangi nyekundu mdhamini wao standard Chater logo yake ni blue...... hii rangi pale Liverpool kwao ni dhambi kubwa kutumika kwenye jersey zao kutokana na upinzani wake wa jadi na Everton wanaotokea mji mmoja..
Kutokana na wenzetu wanafanya kazi kwa weredi standard Chater walifata sheria na mpaka leo wanaidhamini Liverpool baada ya kubadili logo yao kutoka blue mpaka nyekundu na nyeupe ambazo ni rangi za tamaduni ya Liverpool.....
VODACOM NA YANGA MGOGORO WA LOGO ULISHAKWISHA MIAKA 3 ILIYOPITA NA JERSEY ZA YANGA ZILIWEKEWA LOGO YA RANGI NYEUSI...
Hizi ni hila na hujuma zidi ya team ya Yanga tunakwenda BMT wakishindwa kutoa haki tukapanda CAF wakishindwa hawa tutakwenda FIFA lakini rangi za kiboya hatuvai.... Sheria Inatulinda
 
Chukulia yanga wagome na watushawishi wanayanga wote kuhama mtandao kwa kuwa unataka kuifananisha yanga na waponzani wetu wa muda wote simba madhara atapata yanga au voda
 
Kati ya vodacom na yanga nani anamuhitaji mwenzake? Ukielewa hilo huwezi kuhangaika,hela ya vodacom hata Gsm wanawazidi kwahiyo Yangu wanahaki ya kuringa watakavyo,mwenye shida ni vodacom
 
Kibiashara hapo yanga ndio loosers kwani wanaitangaza Voda hadi brazil na jamaica kwa nembo hyo bila kupata kamisheni yoyote,bor awangeacha vile vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom