Hii ni NBC Amateur League

Forgotten

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,347
10,223
Habari wana-JF.

Mimi ni mpenzi mkubwa na mfuatiliaji wa soka ila ligi ya Tanzania ilinishinda kwa namna inavyoendeshwa kishkaji. No professionalism kama wanavyojinadi kwa kusaini mikataba kwa mbwembwe.

Ligi ya bongo sifuatilii maana sina hata timu ila leo nineona habari kuwa NBC wameongeza kipengele kwenye mkataba waliosaini kuwa wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wakipinga wachezaji kupata udhamini kutoka kwa washindani wao kibiashara.

Hapa nawaelewa kabisa NBC, uwekezaji waliofanya ni mkubwa na hawawezi kukubali washindani wao kibiashara watambe kirahisi tu ila nina wasiwasi na hii mikataba inayosainiwa kwenye hii ligi.

Hii sheria ni ya unyonyaji kwasababu wachezaji hawahusiki kwenye mkataba unaohusu udhamini wa ligi. Duniani kote wachezaji wanakuwa na Image Rights ambazo wana haki 100% kuziuza kwa makampuni au kufanya matangazo ya udhamini kupitia: jina, picha n.k.

Sasa kama NBC anapinga wachezaji kupata udhamini kupitia Image Rights wanapaswa kununua Image Rights za wachezaji wote wa Ligi Kuu bila hivyo ni haki ya mchezaji kutumia jina au picha zake kutangaza bidhaa au biashara za makampuni yanayomdhamini.

Wachezaji wa Tanzania na wa nje wanaocheza Ligi Kuu wanapaswa kufahamishwa kuhusu haki zao maana huwa naona hata wachezaji wa Simba wakifanya matangazo ya Mo ambayo nina wasiwasi hawana mikataba tofauti na ile ya ajira zao, vivyo hivyo kwa Yanga na GSM. Mikataba ya ajira inapaswa kutofautiana na mikataba ya Image Rights.

Hii ligi inakosa professionalism kila mahali hata kipindi Vodacom ni mdhamini Yanga walivunja sheria za Brand Guidelines kwa kubadili rangi za Logo za mdhamini na vilabu kadhaa kuendana na rangi zao tu.

Hii ligi inaendeshwa kishkaji sana.
 
Habari wana-JF.

Mimi ni mpenzi mkubwa na mfuatiliaji wa soka ila ligi ya Tanzania ilinishinda kwa namna inavyoendeshwa kishkaji. No professionalism kama wanavyojinadi kwa kusaini mikataba kwa mbwembwe.

Ligi ya bongo sifuatilii maana sina hata timu ila leo nineona habari kuwa NBC wameongeza kipengele kwenye mkataba waliosaini kuwa wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wakipinga wachezaji kupata udhamini kutoka kwa washindani wao kibiashara.

Hapa nawaelewa kabisa NBC, uwekezaji waliofanya ni mkubwa na hawawezi kukubali washindani wao kibiashara watambe kirahisi tu ila nina wasiwasi na hii mikataba inayosainiwa kwenye hii ligi.

Hii sheria ni ya unyonyaji kwasababu wachezaji hawahusiki kwenye mkataba unaohusu udhamini wa ligi. Duniani kote wachezaji wanakuwa na Image Rights ambazo wana haki 100% kuziuza kwa makampuni au kufanya matangazo ya udhamini kupitia: jina, picha n.k.

Sasa kama NBC anapinga wachezaji kupata udhamini kupitia Image Rights wanapaswa kununua Image Rights za wachezaji wote wa Ligi Kuu bila hivyo ni haki ya mchezaji kutumia jina au picha zake kutangaza bidhaa au biashara za makampuni yanayomdhamini.

Wachezaji wa Tanzania na wa nje wanaocheza Ligi Kuu wanapaswa kufahamishwa kuhusu haki zao maana huwa naona hata wachezaji wa Simba wakifanya matangazo ya Mo ambayo nina wasiwasi hawana mikataba tofauti na ile ya ajira zao, vivyo hivyo kwa Yanga na GSM. Mikataba ya ajira inapaswa kutofautiana na mikataba ya Image Rights.

Hii ligi inakosa professionalism kila mahali hata kipindi Vodacom ni mdhamini Yanga walivunja sheria za Brand Guidelines kwa kubadili rangi za Logo za mdhamini na vilabu kadhaa kuendana na rangi zao tu.

Hii ligi inaendeshwa kishkaji sana.
Kati ya ligi mbomvu mbomvu 😀😀 wazungu wanaweza iita ligi ya wakulima/ farmers league ligi ya bongo ni ya ovyo kuanzia tff ,wachezaji,mashabiki wote wajinga wajinga tu,mleta Uzi upo sahihi nakubaliana na ulichoandika 100%we ni great thinker aswa na akili yako kubwa ligi ya bongo inamapungufu makubwa na matajiri kama Mo na GSM wanatumia unyonge WA wachezaji kuwanyonya na kuwatumikisha na kujinadi wanawasaidia ,sijui kama nje ya mishahara uwa wanawalipa vizuri pesa wanazowatumia kwenye promotios za bidhaa zao ,maana uwa nawaona wakina Bocco,etc wameshika vi mo extra ,na jezi zinajaa vitu ambavyo sio Mali ya timu kama jezi ya Simba mara Mo foundation,halafu akilipia pesa za kupromote bidhaa zake kupitia Simba anadai amewasaidia na mashabiki wanashangiliwa tu😀😀Kigwangala akiwasanua wanamuona mjinga,hakuna tajiri mjinga anayetoa pesa Bure bila mahesabu,

Kingine hakuna ligi duniani inakataza wachezaji kupewa endorsement na mtu nje ya mdhamini wa ligi
 
Tatizo ni TFF na ndo maaana NBC wamekimbilia kuongeza kandarasi ya udhamini
 
Kati ya ligi mbomvu mbomvu 😀😀 wazungu wanaweza iita ligi ya wakulima/ farmers league ligi ya bongo ni ya ovyo kuanzia tff ,wachezaji,mashabiki wote wajinga wajinga tu,mleta Uzi upo sahihi nakubaliana na ulichoandika 100%we ni great thinker aswa na akili yako kubwa ligi ya bongo inamapungufu makubwa na matajiri kama Mo na GSM wanatumia unyonge WA wachezaji kuwanyonya na kuwatumikisha na kujinadi wanawasaidia ,sijui kama nje ya mishahara uwa wanawalipa vizuri pesa wanazowatumia kwenye promotios za bidhaa zao ,maana uwa nawaona wakina Bocco,etc wameshika vi mo extra ,na jezi zinajaa vitu ambavyo sio Mali ya timu kama jezi ya Simba mara Mo foundation,halafu akilipia pesa za kupromote bidhaa zake kupitia Simba anadai amewasaidia na mashabiki wanashangiliwa tu😀😀Kigwangala akiwasanua wanamuona mjinga,hakuna tajiri mjinga anayetoa pesa Bure bila mahesabu,

Kingine hakuna ligi duniani inakataza wachezaji kupewa endorsement na mtu nje ya mdhamini wa ligi
Una pointi kubwa mkuu.Ila kigwangala ni mjinga mjinga mmoja tu wa kisiasa.
 
Kuna msimu ligi ilikosa mdhamini. Wadhamini wa ligi yetu ni tiamaji tia maji.
Tunaotegemea muongeze mapato kwa kuifatilia ndo nyie mnasema hamfatilii ligi ya bongo na kejeli kibao halafu mnakuja tena kulalalama kwa kitu ambacho hukipendi na hukifatilii kwa udumavu wake.

Acheni kuchonga ngenga hata mimi ningekua NBC ningefanya hivyo, hao CRDB si waliona ligi haina mdhamini kwanini wasisinye, wanasubiri kamseleleko NBC kafanya nao wapite na maokoto tu kindezi.

Hicho kipengele wala hakimbani sana mchezaji, kinampa ruhusa ya kufanya matangazo popote ila tu si na mshindani wa NBC kibiashara, mbona simple tu.

Nimekupa fridge la pepsi halafu unaweka soda za cocacola namna gani wewe.
Msije na hoja za ulaya hivi ulaya vile, sisi sio wao, hatuwafikia na huenda hata wao hizi stage za kumnyenyekea mdhamini zilikuwepo ila wakapita.
 
Kuna msimu ligi ilikosa mdhamini. Wadhamini wa ligi yetu ni tiamaji tia maji.
Tunaotegemea muongeze mapato kwa kuifatilia ndo nyie mnasema hamfatilii ligi ya bongo na kejeli kibao halafu mnakuja tena kulalalama kwa kitu ambacho hukipendi na hukifatilii kwa udumavu wake.

Acheni kuchonga ngenga hata mimi ningekua NBC ningefanya hivyo, hao CRDB si waliona ligi haina mdhamini kwanini wasisinye, wanasubiri kamseleleko NBC kafanya nao wapite na maokoto tu kindezi.

Hicho kipengele wala hakimbani sana mchezaji, kinampa ruhusa ya kufanya matangazo popote ila tu si na mshindani wa NBC kibiashara, mbona simple tu.

Nimekupa fridge la pepsi halafu unaweka soda za cocacola namna gani wewe.
Msije na hoja za ulaya hivi ulaya vile, sisi sio wao, hatuwafikia na huenda hata wao hizi stage za kumnyenyekea mdhamini zilikuwepo ila wakapita.
Upo sahihi lkn NBC wamedhamini ligi sio wachezaji

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi lkn NBC wamedhamini ligi sio wachezaji

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwani ligi ni viwanja vya mpira pekee??

Yeye si ndio anafanya hao wachezaji wacheze mkuu. Kwenye hilo sioni kabisa kama NBC wanakosea kuweka hilo katazo lao.

Lengo la hao jamaa kudhamini ni ili na wao wajulikane na wafanye biashara zaidi. Sasa umebuni mbinu sasa utaruhusuje mwingine apitie mtelezo tu bila wewe kupata chochote na ukizingatia ni mpinzani wako kibiashara.

Na hapa kwetu hizi, mambo ya kibenki bado wanajitafuta. Bado elimu inatolewa watu wavutwe kwa namna moja au nyingine wajiunge na mfumo wa kibenki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom