1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Wadau haya mashirika ya simu ya hapa nchini kwa kweli yana huduma mbovu sana,mimi natumia internet ya vodacom,kwa kweli mtandao huu ni mbovu hakuna mfano!wako slow mno,kifupi ni maudhi tu,tofauti kabisa na matangazo yao wanayotoa kwy vyombo vya habari,nimejaribu package zao zote hakuna hata moja yenye afadhali!huu ni wizi wa wazi wazi!naomba mdau anaejua ni mtandao gani mzuri kwa huduma ya internet anijuze,sitaki tena kuwasikia voda,bora nilipe zaidi nipate huduma ya uhakika