Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,156
Hivi hakuna mwakilishi wa Vodacom au TCRA humu barazani?
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!