Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,605
- 5,185
Kudhamini Ligi kwa kuwaibia wateja?
Hii ni mara ya pili nalalamika hapa, hivi hakuna mwakilishi wao?
Kila nikipiga customer care wananijibu watanitoa, mbona bado natumiwa?
Wadau nisaidieni nini natakiwa nifanye,
Maana naona hasira zinaanza ku-control ubongo ambapo si sahihi!!
siku nyingine usijiunge na kamali! fanya kazi bana, acha kuishi mjini kiujanja ujanja!!