Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,565
vifurushi vya airtel na 4g = match made in heavenAhhhh 4g ya tigo mizinguo kwanza kwangu haivuki 23Mbps au 3MB/s wakati hizo ni spidi za HSPA+. Ndio maana nilikuwa nawasubiri Airtel au vodacom waingie ulingoni sana sana airtel maana bundle zao ni nzuri.
Hivi ukiwa na Simu inayo support 3g halafu ukawa na line ya 4g he Simu itasoma 4g?vifurushi vya airtel na 4g = match made in heaven
hapana itasoma 3gHivi ukiwa na Simu inayo support 3g halafu ukawa na line ya 4g he Simu itasoma 4g?
unatumia simu ganMm nimeswap lakini mbona bado inasoma 3G??
naskia 1800Kwani voda wao wanatoa 4G yao kupitia bands zipi??
Ahh.. Umenena maana hivo vi 500mb wanavyotoa for 1000 havitomaliza hata nusu saavifurushi vya airtel na 4g = match made in heaven
Mm natumia tecno boom J8unatumia simu gan
Upo mkoa ganiNakama ni 1800Mhz hii ni band 3 ambayo hata tecno boom j8 inayo hizo frequency
Nipo dar ila imeshakubali mkuuUpo mkoa gani
Samahani mkuu. unatumia modem gani kutumia hiyo laini ya 4G?hbr wakuu,
Leo nimefika vodashop kwa ajili ya kupata laini ya 4G na kuprove, ni kweli ipo active japo wao wenyewe ukiswap hawakuambii hatimaye ni 4G kweli hata uku chaka yapatikana
View attachment 345881
IMELETWA KWAAJILI YA CCM NA WANACCM.! SISI HAITUHUSU! TIGO NA HALOTEL ZINATOSHA SANA.Nimetumiwa ujumbe katika simu yangu:
Vodacom 4G imefika! Badilisha laini BURE iwe ya 4G upate GB4 BURE kutumia ndani ya siku 7. Tembelea Vodashop yoyote Dar na kitambulisho. Vodacom, HAPA KASI TU!
Nini maoni yenu!
Ahh.. Umenena maana hivo vi 500mb wanavyotoa for 1000 havitomaliza hata nusu saa
IMELETWA KWAAJILI YA CCM NA WANACCM.! SISI HAITUHUSU! TIGO NA HALOTEL ZINATOSHA SANA.
Hamna ni kile kile lakini siunajua tena na spidi kubwa matumizi yanabadilika kama zamani speed ya tigo ilivyokuwa mbavu sana sana nitaangalia video youtube kwa 240p quality au 360p na bado zina buffer mnoo...Ina maana kama ninacho-download kina 20Mb nikitumia 4G inakula mb nyingi zaidi kuliko nikitumia 3G?
Je siyo kwamba mb ni zile zile lakini muda unaotumika unakuwa mfupi zaidi kwa sababu ya speed kubwa zaidi?