nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,689
- 9,869
Mzee Assey na nyumbani kwske aligema minazi 🙂Rose Garden -Mikocheni
Mzee Assey na nyumbani kwske aligema minazi 🙂Rose Garden -Mikocheni
Umenikumbusha mbali sana😂😂😂😂. Aisee hapo Kwa macheni nilikuaga napasikia. Sasa wakati nabukua muhimbili nikawa Kwa swaiba wangu kimara temboni tunapombeka ilipofika saa moja ikabidi nijirudishe Chuo. Nikiwa kwenye daladala na pombe zangu akili ikanijia kunasehemu inaitwa Kwa macheni shuka hapo uangalie totozi. Ebwanaeeee nikadrop pale nikaingia nikaagiza kilimanjaro moja. Kilichonishangaza naona kidume kinanikonyeza, aisee wakati najitafakari hv jamaa alikuwa ananikonyeza Mimi au mwingine ghafla naona bia ya nyongeza naletewa nahoji mbona sijaagiza nyingine naambiwa yule mkaka kakununulia. Ilibidi nijikatae mapema na ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kufika Kwa macheni
ImascoViwanja vyote vipo kino dc
Ngoja watu wa gomz na mbagala waje
5N ilianzia Kimara Suka kabla ya kuvunjiwa jengo walilokuwa wanatumia nq kuhamia opp na Mcity.1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri/ Mkwepu Street,City Centre.
Hiki kijiwe kulikuwa na mishikaki mitamu sana ya samakicine club-mikocheni
Randa bar, Kigogo..!! Jina limebaki kuwa ka kituo cha daladala1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri/ Mkwepu Street,City Centre.
Chezntemba night club Kinondoni, mtaa wa Mgobanya (imegeuzwa kuwa kanisa)Viwanja vyote vipo kino dc
Ngoja watu wa gomz na mbagala waje🏃🏃🏃🏃
wanapewa headphones ?????kaulize vizuri aliyekuadithia,head phone at that time,kulikuwa na speakers zimesimishwa along parking spacesWangapi humu waliangalia Cinema bubu pale DRIVE IN Cinema msasani ulipo ubalozi wa Marekani hivi sasa wakiwa wamesimama nje na kukodolea Ukuta mkubwa (screen)
Mfano wa drive in cinema ilikuwa kama hivi wanaingia wenye magari na magari yao ,hawashuki wanapewa headphones sasa kina yakhe ambao hawajaingia wao wanaona picha wakiwa nje ila hawasikii sauti .watoto wa biafra,mwananyamara,msasani ilikuwa huwakosi kwenye hizo cinema za bure
View attachment 2943230
Ha hs hs Giz Biz,aliyoaga sinho moja ya kigumu 8naitwa napata kichaa.Alafu akapoteaNakumbuka hapo nilizama na msela wangu gill Biz mida ya saa tisa alasiri, tukatoka saa nne asubuhi, kesho yake.
Dah... Umebadili ID au?
Hahahaha sasa siku ile mtambuzi alinisindikiza hadi pale guest maana aliona sitofika hahahahahaPole we.
Ila una kumbukumbu hatari.
Mie nilishadumbukia pale wakati naenda kumpokea LiverpoolFC
Sina hamu...
Nimeboresha!Dah... Umebadili ID au?
🤭🤭Hahahaha sasa siku ile mtambuzi alinisindikiza hadi pale guest maana aliona sitofika hahahahaha
Hapajafungwa kweli?Hawa wamechoma bata kumedoda siku hiz
Mambo Club pia ilikufa
Mwananyamala kwa LOWASSAPeace bar
Tukumbakane basi. Vibaya hivyo...Nimeboresha!