Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Najua watu wana mjadala wa Nyalandu na wengine mjadala wa Magu na wale ambao hawatakiwa "kubomoleshewa" kule Mwanza.. miye nina kijiswali kidogo tu nimekiokota katika pita pita zangu. Nilikuwa naangalia mji wa Arusha hasa eneo maarufu la viwanja vya relini ambapo mikutano mingi ya kisiasa na kidini hufanyikia... katikati kabisa ya viwanja hivyo kuna majengo/nyumba sijaelewa kwanini..
a. Eneo lile lilitakiwa liwe wazi kuanzia huko kwenye ghala za nafaka (NMC) au lilitakiwa ligawanywe viwanja viwanja.. ni kana kwamba majengo yaliyoko katikati ya viwanja hivyo kama yako "out of place". Au ni mimi tu nimewahi kujiuliza hili?
a. Eneo lile lilitakiwa liwe wazi kuanzia huko kwenye ghala za nafaka (NMC) au lilitakiwa ligawanywe viwanja viwanja.. ni kana kwamba majengo yaliyoko katikati ya viwanja hivyo kama yako "out of place". Au ni mimi tu nimewahi kujiuliza hili?