Viwanja vya NMC Arusha: Dr. Slaa akamatwa, Polisi yajaribu kuwaondoa kwa nguvu CHADEMA

Kuna zaidi ya polisi 200,na wameanza kupakia viti na tent zilizoko hapa uwanjani,kuna uwezekano wa polisi kuendelea kulinda uwanja wa NMC ili kuzuia umma
 
Hawataweza kuzuia umma watu ni wengi kuliko wao na watu wamechoka ngoja na hiyo nyomi inayokuja mjini utasikia raha.
 
Kazini leo hamuendi?. Hao viongozi wenu hiyo ndiyo kula yao.
 
Nazan polis wamecheza sana na mda kwa mda ule walio wasil pale wananch weng walikuwa wamepungua na fujo kubwa za wezatokea kuanzia saizi maana wa2 weng wapanga kujib mashambuliz walau hata kwa kuua polic hata 1.Kuna kund kubwa sana hapa la vijana wanadiscuss ni vip watalipa kisasi.
 
Nazan polis wamecheza sana na mda kwa mda ule walio wasil pale wananch weng walikuwa wamepungua na fujo kubwa za wezatokea kuanzia saizi maana wa2 weng wapanga kujib mashambuliz walau hata kwa kuua polic hata 1.Kuna kund kubwa sana hapa la vijana wanadiscuss ni vip watalipa kisasi.

polisi wamejipanga wewe, acha mcheze. Waambie wajaribu wauone moto.
 
Nazan polis wamecheza sana na mda kwa mda ule walio wasil pale wananch weng walikuwa wamepungua na fujo kubwa za wezatokea kuanzia saizi maana wa2 weng wapanga kujib mashambuliz walau hata kwa kuua polic hata 1.Kuna kund kubwa sana hapa la vijana wanadiscuss ni vip watalipa kisasi.
vurugu za nini
 
Wanaarusha tupo pamoja na nyie sisi tuliopo mikoani,dhuruma ya CCM inatosha,wao na watoto wao wanaishi maisha mazuri sisi tunaishi vibaya,tuendelee na mapambano muda wote kupinga dhuruma hii ya mkoloni mweusi CCM.
 
Nimeona landrover PT 1178 Pickup na nyingine yenye namba ya kibinafsi ingali ni ya police ikiwa imepakia pikipiki aina ya Toyo na kuelekea central police. Na kila kitu kimechomwa moto na hata baadhi ya matendi yote yamepakiwa na naona hili litakuwa shazi lingine mpya kwa upande wa siasa.
 
Natamani nipate tamko kutoka kwa Dr. Ama Kamanda mbowe kama ni ruksa kujibu mapigo, kuna askari wanapita hapa ng nipo kwenye position nzuri ya kuwapiga ghriiiiiii
 
On a serious note, labda mwl nyerere angekuwepo leo busara zake zingetusaidia! Haya mukulu, ukimaliza kumcelebrate mwana wa elizabeth uangalie nyumbani manake hujengi ufa jiandae kujenga ukuta!
 
Jamani, hivi kweli hakuna njia mbadala ya kulishughulikia hili jambo?. Kama Lema yuko ndani kwanini tusiache sheria ifuate mkondo wake?, huo mkutano hapo NMC utasaidia vipi katika kutatua tatizo hili?. Kweli imeshindikana kukaa mezani na kulizungumza suala hili kistaarabu?.

Inawezekana kabisa kuna mambo hayaendi ipasavyo lakini pia jinsi ya kudai haki isitumike fujo, busara na hekima itumike badala yake.
 
Nadhani madai ya regime change yanaanza kupata mashiko.

Kadri unyama unavyozidi ndivyo kadri wanamapinduzi wanapokosa sababu za kurudisha majeshi nyuma...Wananchi wanapouwawa,inaongeza ari ya wenzao kupambana zaidi ili kuhakiisha kuwa damu yao haikumwagika bure.

Kama kuna wananchi wanauwawa kwa unyama wa polisi,basi kuacha damu hiyo ipite bure ni kuwa macoward.

Nadhani unyanyasaji wa kutumia dola ndiyo motivation kwa wanamapinduzi.

Historia imedhihirisha hilo.
 
polisi wamejipanga wewe, acha mcheze. Waambie wajaribu wauone moto.

hakuna tatizo wakifa polis kam 5 hiv nazan itakuwa imefungua ukurasa mpya. Nataman sana kama tz wananch wangekuwa wanamiliki siraha nazan leo pange chimbika.
Wemzee endelea 2kushabikia upupu unaofanywa na serikal yako.Au wana ku cameroon nin? Ndiyo mana unawatetea
 
Watu hawajaangalia tu kama risasi zingekuwa zinanyamazisha watu Gaddafi angeendelea kuwepo na waandamani ya Yemen na Syria wangeacha.. wanalazimisha wananchi kuvuka mstari wa aidha kuchagua maisha au kifo.. hekima ndicho kitu pekee ambacho bado tunakihitaji zaidi kuliko kitu kingine chochote.

Mkuu hapo mahesabu yao yamegoma - walidhani wakimtoa umati utajaa, sasa hawajamtoa ndio umezidi kujaa!
 
Dealing totally with a wrong cause will never bring us to any REAL solution!!

Take G lema doc (2011) reconcile it with Arusha declaration doc. (1967) .. The Human DIGNITY, Love, Respect and hope will be restored!

Brutal forces is not the option at the moment .. It will and will never work!!
 
Habari nilizopata mida hii kutoka kwa swahiba wangu aliye katika uongozi wa juu ni kwamba serikali imewekwa katika mtihani mkubwa kuhusiana na mgeni Prince Charles, kutokana na yanatokea Arusha. Kuna baadhi ya wakuu wanaona yule hakimu hakutumia busara kwani angemtoa jana Lema, CDM wakafanya mkutano wao jana na leo, na kesho tarehe 9 Arusha ingekuwa shwari kwa ajili ya ziara ya Prince Charles eneo hilo.

Wanaona sasa hali hii inaweza ikaharibu kabisa ratiba.
 
Back
Top Bottom