Viwanja vya NMC Arusha: Dr. Slaa akamatwa, Polisi yajaribu kuwaondoa kwa nguvu CHADEMA

Nimeongea na baadhi ya watu wachache wako salama na hawajakamatwa wala kudhurika na wanaenda kuwasha moto kuanzia mitaani inavyoonekana leo hapatatosha.
 
Yaani ni balaa 2pu mi nilikuwa hapo sema nilifanikiwa kuchomoka maana polis walivamia na kupiga mabom.
Cjui leo arusha kama patakalika.
Viongoz kibao wakamatwa na kupelekwa sero ni wa2 weng sana wamekamatwa.
 
More updates ndugu! Hii tuliitarajia kwani mtawala yeyote yule atajaribu kufanya chochote ili kulinda utawala wake.
 
Acha use..................n..............g...............eeee.......!! masaburi yako we unaona fahari sana watu wanavyonyanyasika?
 
Msiba wa kujitakia hauna kilio...ni dhambi sawa na nyingine kutumia hisia za watu kjifanikishia malengo yako...bado naendelea kutafakari future ya nchi yetu kwa siasa za chuki! Napenda mabadiliko lakini hii ni too much!
 
Sitaki kuamin kuwa katika vyombo vyetu vya Dola hakuna reasonable man wa kutambua kitakachotokea mbele baada ya maamuzi fulani.

Yaan sahihi moja tu, ya mtu mmoja inaleta madhila na madhara yote haya! Mmh! Na polisi nao hawaoni kitakachofuata?! Leo nimejiuliza, kama Bunge linaisimamia serikali, Je mahakama na Bunge vinasimamiwa na nani? Ni nani anayepaswa kuviwajibisha vyombo hivi hasa pale inapoonekana mambo hayaendi kama inavyopaswa? Na jibu likanijia ni UMMA ndio uko juu ya kila kitu.

Si suala la kuombea chombo hiki (UMMA) kuingilia kati, kwan matokeo lazima yatapatikana kwa gharama zozote zile, lakin sasa naona mazingira yanatulazimisha kuingilia kati
 
Yaaani wamemwaga polic wakutosha kutoka chuo cha police mosh.
Kama raia wa tz wangekuwa wanamiliki siraha bas leo vita ndiyo ingekuwa imeanza lasmi.
Leo arusha hapakaliki.
 
Ndio...sivutiwi na mwenendo wa baadhi ya mambo yanavyoenenda nchini kwa sasa...inaleta hasira kidogo na km tujuavyo penye hasira mambo hua tete...lakini bado najiuliza km namna tunayotumia kudai tunachoamini ni haki ni njia stahiki! Natafakari
 
WanaJF! Nipo hapa hapa uwanjani lakini hakika hali hii si shwari hata kidogo na pale nawaona baadhi wa makada na nitawajuza kwn maaskari wametanda hashwa. Ntakuwa updates katika lolote jipya! Na hata wale machalii wangu niliowaacha hata mmoja sijamtia machoni mpk sasa.
 
Sitaki kuamin kuwa katika vyombo vyetu vya Dola hakuna reasonable man wa kutambua kitakachotokea mbele baada ya maamuzi fulani.

Yaan sahihi moja tu, ya mtu mmoja inaleta madhila na madhara yote haya! Mmh! Na polisi nao hawaoni kitakachofuata?! Leo nimejiuliza, kama Bunge linaisimamia serikali, Je mahakama na Bunge vinasimamiwa na nani? Ni nani anayepaswa kuviwajibisha vyombo hivi hasa pale inapoonekana mambo hayaendi kama inavyopaswa? Na jibu likanijia ni UMMA ndio uko juu ya kila kitu.

Si suala la kuombea chombo hiki (UMMA) kuingilia kati, kwan matokeo lazima yatapatikana kwa gharama zozote zile, lakin sasa naona mazingira yanatulazimisha kuingilia kati
 
Back
Top Bottom