LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika kile kilichosadikiwa tangu awali hakika imetimia kwani yapata majira ya saa tisa na nusu hata kumi kasorobo alfajiri,Askari wakiwa tayari kupambana na NGUVU ya UMMA iliyokuwa kwenye mkesha,walivamia uwanja wa NMC na kuwatawanya raia waliokuwa uwanjani usiku kucha kwenye mkesha. Sijajua kama wamejeruhi ama wameua lakini hakika risasi ya moto zilisikika kila corner hp A town.
NAWASILISHA!!
NAWASILISHA!!
Dr Slaa, nae anashikiliwa Kituoni