Kila MTU anataka kujiajiri ila ni muhimu kuajiriwa ili upate msingi na mtaji. Vijana tafuteni ajira mkipata kopeni anzisheni miradi. Ikisimama acha kazi simamia mwenyewe.
Hata huko helb pia makato yanatofautiana mana kuna waliokopeshwa 70%,80% au 100%. hata huyo mwalimu mwenye mkopo 100% bado wanatofautiana makato.mfano mwalim alosoma BED SC makato yake n tofaut na mwalmu wa BED PSYCHOLOGY kwa sabab wanatofautiana hela zao za field.Weken mahesbu ya mwalimu anaeanza kaz ngazi ya degree pia ana loan kutoka Heslb take home itakuwa bei gan wakuu
Safari ni ndefu lohhata huko helb pia makato yanatofautiana mana kuna waliokopeshwa 70%,80% au 100%. hata huyo mwalimu mwenye mkopo 100% bado wanatofautiana makato.mfano mwalim alosoma BED SC makato yake n tofaut na mwalmu wa BED PSYCHOLOGY kwa sabab wanatofautiana hela zao za field.
Hizo ingekuwa ni posho watu tungekufa maofisini maana mimi kila siku ningekuwa nabaki kazini hadi saa 6 usikusamahani ,hivi hiyo ni mishahara au posho za vikao?
Mfamasia diploma na nursing diploma ngapi?Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Ni kweli kabisaSikiliza mkuu hakuna kitu kinachoitwa mpunga mrefu halmashauri. Hizo habari za mpunga mrefu ni huko kwenye taasisi na mashirika
Hakuna kitu kinachoitwa mpunga mrefu halmashauri hata uwe na CPA. Habari za mpunga mrefu in huko kwenye taasisi na mashirika ya umma.
Kwani CPA INA nini?Serikali ipi hio ambayo ukiwa na CPA unalipwa 950K??? Unaijua CPA kweli wewe?
CPA ina standards zake. Walio nayo na wanaifanyia kazi watakuelezeaKwani CPA INA nini?
Na Mimi nikuulize unaijua MD wewe?
M.D popote pale utakapoajiriwa naye lazima akuzidi kwa salary scale hata ukiajiriwa na MD pale MSD mtu mwenye MD atalipwa scale kubwa kuliko ww CPA
Hakuna standards za CPACPA ina standards zake. Walio nayo na wanaifanyia kazi watakuelezea
Ila kwa malipo ya 9.5K hapo uongoHakuna standards za CPA
Mishahara ya CPA,CSP,nk Ishapangwa kwa mujibu wa viwango husika vya taasisi husika
Mkuu Nipigie sehemu pande hata niwe foreman wa mkandarasi ,Mkuu sasa walimu wanaoishi Dar wanaishije?. Kiukweli nihela ndogo sana 460K ndio maana walimu wanamadeni mengi, kiukweli sio haki kabisa. Leo wanataka na wahandisi tukawe walimu aah ha ha yaani, mimi kazi yangu mayofanya nilienda site kwa siku nalipwa lakimoja, na nakaa site zaidi hata ya siku 12 kila mwezi.Halafu leo muhandisi mwenzangu niliehamgaika nae umlipe 460K bila hata malupulupu kiukweli sio haki kabisa.
Unaweza kuwa welder au fitter?.Mkuu Nipigie sehemu pande hata niwe foreman wa mkandarasi ,
Ni mhandisi kama wewe mkuu. Nina Bsc ya civil. Hiyo kazi uliyosema siwezi kakaUnaweza kuwa welder au fitter?.
Mshahara hutofautiana kulingana na ofisi iliyokuajiri. Hivi unajua kuna taasisi mtu mwenye diploma anafanana mshahara na mtu mwenye master's? .Nina interest ya kujua mshahara
Mwalimu
Dakitari
Muuguzi
Mfamasia
Mhandisi ngazi ya halimashauri
Mwanasheria
Mhasibu
N.k
Mkuu umeajiriwa ?.Ni mhandisi kama wewe mkuu. Nina Bsc ya civil. Hiyo kazi uliyosema siwezi kaka
Sijaajiriwa mkuu. Mana nisingekuomba kama sehemu unapajua unipigie pande niwe hata foreman wa mkandarasi.Mkuu umeajiriwa ?.
Naomba uni dm namba yako, niisave kabisa,kuna wahandisi kama wawili ntaongea nao kama ikitokea chance au project basi watakustua siuko registered as PE or GE?.Sijaajiriwa mkuu. Mana nisingekuomba kama sehemu unapajua unipigie pande niwe hata foreman wa mkandarasi.
Pamoja sana kaka. Ngoja niku dmNaomba uni dm namba yako, niisave kabisa,kuna wahandisi kama wawili ntaongea nao kama ikitokea chance au project basi watakustua siuko registered as PE or GE?.
Hayo ndiyo malipo halali kwa sababu hiyo ndiyo scale za halmashauri si unaona Engineer anavyolipwa pia salary kidogo.Ila kwa malipo ya 9.5K hapo uongo
Halmashauri wanalipa kidogo sana..Hayo ndiyo malipo halali kwa sababu hiyo ndiyo scale za halmashauri si unaona Engineer anavyolipwa pia salary kidogo.