hakuna namna mkuuHahhaaa kutaka kupita darajani na huwezi kulipia ndo anasa mkuu, vinginevyo ni kupanda pantoni tu
Naunga mkono hoja, hii nchi haijafikia uwezo wa watu kulipia social service, ambayo ni jukumu la serikali, serikali itafute financing ya kufidia hapo, ikiwezekana watu na magar na kila kitu kipite bure, maana hakuna namna nyingine tena.Daraja limegeuka na kuwa msalaba mzito kwa wananchi.
Mkuu usishangae, huyo jamaa kaahidiwa akifikisha idadi fulani ya posts anapewa UDC. Hivyo usitegemee argument ya maana kutoka kwake.Hata hujipi mda wakusoma hoja na kuichambua?
Sio kweli, una chuki binafsi na Yeriko.
Ni kama saa nne tu zilzopita umeleta uzi wa ''Riba za benki ni majipu makubwa sana". Nikukumbushe, Yeriko alishaleta huo uzi hapa JF kitambo tu, na ukajadiliwa. Leo wewe umeibuka nao kama vile haujawahi kujadiliwa.
Hakuna haja ya kulipia
serikali tunailipa kodi...ilipe hilo deni kwa nssf
Oooh nimefurahi kukuona, binam ukishwa kulipa upige mbiziHakuna haja ya kulipia
serikali tunailipa kodi...ilipe hilo deni kwa nssf
Ha ha mkuu umewaza km me, hakuna ULAzima wao kuja huku, km vipi wqpige mbizi,wanakigamboni mnaenda dar kufanya nini wakati huduma zote zinapatikana huko? maduka yapo, masoko yapo mnataka nini tena bakini huko huko maisha ni popote