Wana Jamii,
Mimi Kama mdau wa michezo hususani mpira wa miguu nimekua nikifuatilia kwa ukaribu michuano ya CECAFA inayoendelea hapa jijini Dar es Salaam. Ila nimesikitishwa sana na viwango duni vya team za Tanzania Bara na Zanzibar Heroes. Swali linakuja, nani alaumiwe? Je TFF na ZFA zimeonyesha nia ya dhati ya kuendeleza soka la nchi hii? Je kuna haja ya kuendelea na wakongwe ambao wameshindwa kuiletea mafanikio yoyote nchi hii katika michezo huku tukiwa tunahubiriwa ndoto hizi za Abunuwasi za Kwenda kucheza kumbe la dunia Brazil 2014? Je si wakati muafaka wa kuachana na kundi hili na kujikita zaidi kwenye soka la vijana na pengine tuwe na ndoto za kushiriki michuano ya kimataifa baada ya miaka kumi hivi pale ambapo vijana hawa watakua wameshapevuka na pengine tuwe katika viwango vya timu Kama Ghana? Great Thinkers, what's your opinion on what needs to be done to bring this 50 year old nation sports status to its DESERVED levels?
Mimi Kama mdau wa michezo hususani mpira wa miguu nimekua nikifuatilia kwa ukaribu michuano ya CECAFA inayoendelea hapa jijini Dar es Salaam. Ila nimesikitishwa sana na viwango duni vya team za Tanzania Bara na Zanzibar Heroes. Swali linakuja, nani alaumiwe? Je TFF na ZFA zimeonyesha nia ya dhati ya kuendeleza soka la nchi hii? Je kuna haja ya kuendelea na wakongwe ambao wameshindwa kuiletea mafanikio yoyote nchi hii katika michezo huku tukiwa tunahubiriwa ndoto hizi za Abunuwasi za Kwenda kucheza kumbe la dunia Brazil 2014? Je si wakati muafaka wa kuachana na kundi hili na kujikita zaidi kwenye soka la vijana na pengine tuwe na ndoto za kushiriki michuano ya kimataifa baada ya miaka kumi hivi pale ambapo vijana hawa watakua wameshapevuka na pengine tuwe katika viwango vya timu Kama Ghana? Great Thinkers, what's your opinion on what needs to be done to bring this 50 year old nation sports status to its DESERVED levels?