Vivo zenye MTK hazina utofauti na Tecno. Tafuta Oppo yenye snapdragon labda ndio utaenjoy.Kwa anajua kuusu simu za vivo atupe mwanga kidogo nasikia ni simu nzuri kwa sasa ukiachana na samsung na iphone.Asante na wasilisha. Cc chief Mkwawa
Naunga mkono hoja.Usinunue simu kwa kuangalia jina mkuu, hata wao Wana vimeo vya kutosha, hata samsung Wana vimeo, Angalia specs kwanza.
NAIPENDA MNO ONE PLUS NIMETAFUTA DAR SIJAPATANilikuwa naicheki Vivo X60 Pro jana. Wameitoa hivi karibuni hata baadhi ya masoko haijafika.
Wana partnership na Zeiss mabingwa wa camera technology. Camera sensors wamechukua kwa Samsung na wametoa simu kali sana kwa camera integration. Ni midrange ila inabamba sana. Ina makosa madogo kama screen resolution sio kali sana kama hizo Samsung S21 na Oppo Find X3.
Cheki pia OnePlus wameshirikiana na Hasselblad kutoa OnePlus 9 Pro nayo ni hatua kubwa sana tofauti na zilizopita. Testing kadhaa nimeona inatoka suruhu na iPhone 12 Pro kwenye camera.
Processing power sioni tofauti kubwa kwa maana wote high end mwaka huu wanachukua Snapdragon 888, RAM una options za 6/8 na wengine 12, memory una hata 250 GB sometimes na option ya kuongeza card hasa Xiaomi wanaipenda.
Zinadumu ila ziko overpriced kulingana na simu nyenzake zenye uwezo sawa. Kwa wapenda status kama nyie wadada zina shida kidogo sana kwenye camera zake ukipost kuna quality flani zinakosa. Kama sio mtaalamu wa picha huoni.NAIPENDA MNO ONE PLUS NIMETAFUTA DAR SIJAPATA
shida ni hapo kuagiza njeZinadumu ila ziko overpriced kulingana na simu nyenzake zenye uwezo sawa. Kwa wapenda status kama nyie wadada zina shida kidogo sana kwenye camera zake ukipost kuna quality flani zinakosa. Kama sio mtaalamu wa picha huoni.
Ni simu nzuri sana na ukiwa nayo ni wewe peke yako mtaani. Ukiweza agiza nje ila fuata maelekezo usije chukua version isiyo.
Tomaa Mireni zile blurs za mbali kwenye camera kwako hazipo? Hasa kwenye WhatsApp status au ukituma picha
Xiaomi redmi 9 mkuu, sema kuipata kwake ni Kenya. Ni redmi 9 na sio 9c ama 9A.Mkuu hivi ni simu gani kwa sasa ni nzuri au zipo kwenye wakati kwa sisi wenye bajeti isiyozidi laki tatu?
Hazipo bossZinadumu ila ziko overpriced kulingana na simu nyenzake zenye uwezo sawa. Kwa wapenda status kama nyie wadada zina shida kidogo sana kwenye camera zake ukipost kuna quality flani zinakosa. Kama sio mtaalamu wa picha huoni.
Ni simu nzuri sana na ukiwa nayo ni wewe peke yako mtaani. Ukiweza agiza nje ila fuata maelekezo usije chukua version isiyo.
Tomaa Mireni zile blurs za mbali kwenye camera kwako hazipo? Hasa kwenye WhatsApp status au ukituma picha
Shukrani kiongozi![]()
Hatimaye vivo Y11 yavunja rekodi ya simu zangu
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu. Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa unanunua simu kwa kuulizia vitu mfano ina radio? Au ina bluetooth, memory card n.k. 2010 nikanunua nokia...www.jamiiforums.com
Pitia huo☝️ uzi utakuja kunishukuru
Shukrani mkuu nimekusoma![]()
Hatimaye vivo Y11 yavunja rekodi ya simu zangu
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu. Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa unanunua simu kwa kuulizia vitu mfano ina radio? Au ina bluetooth, memory card n.k. 2010 nikanunua nokia...www.jamiiforums.com
Pitia huo☝️ uzi utakuja kunishukuru
Asante kwa kutoa mwangaNilikuwa naicheki Vivo X60 Pro jana. Wameitoa hivi karibuni hata baadhi ya masoko haijafika.
Wana partnership na Zeiss mabingwa wa camera technology. Camera sensors wamechukua kwa Samsung na wametoa simu kali sana kwa camera integration. Ni midrange ila inabamba sana. Ina makosa madogo kama screen resolution sio kali sana kama hizo Samsung S21 na Oppo Find X3.
Cheki pia OnePlus wameshirikiana na Hasselblad kutoa OnePlus 9 Pro nayo ni hatua kubwa sana tofauti na zilizopita. Testing kadhaa nimeona inatoka suruhu na iPhone 12 Pro kwenye camera.
Processing power sioni tofauti kubwa kwa maana wote high end mwaka huu wanachukua Snapdragon 888, RAM una options za 6/8 na wengine 12, memory una hata 250 GB sometimes na option ya kuongeza card hasa Xiaomi wanaipenda.
Afadhali nunua XiaomiKwa anajua kuusu simu za vivo atupe mwanga kidogo nasikia ni simu nzuri kwa sasa ukiachana na samsung na iphone.Asante na wasilisha. Cc chief Mkwawa
Specification za kifaa husika, kuanzia processor iliotumika, ukubwa na speed za ram, ukubwa na speed ya storage, wifi, Bluetooth, band za 4g, speed ya 4g, etc mambo ni mengi unaweza Angalia specs za simu husika gsmarena.Specs unamaanisha nini kiongozi