ngina rema
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 215
- 81
naweza kujibu badala ya watu8?
Wewe Kaizer itamjibiaje?
Last edited by a moderator:
naweza kujibu badala ya watu8?
mmh haya maswali mengine kazi ipo...
kiuno ni nini?
touberrrr!!! usiniharibie swaumu bado sijafturu ujue. sijambo ankal. mambooooz zako!?
mamboz poa kabisa nasubiria vidufu nikavizie daku miye.....kuna sehem apa jirani
unaambiwa panda mti ukate mti, je upande nini ili ukate kiuno jamani????
karibu sana!!! uje na tango pia. ni zuri kwa afya.
kuyajibu hadi uwe na phd ya malavidavi.
Nimekumiss Kweli... Miye mzima kabisa...
Haujalala?
inabidi nitafute chuo cha malavidavi nikafunzwe shemeg...ila nitaomba nifunzwe topic nyingine hii ya viuno irukwe...
nipo best wakati mwingine nisake kwa PM inakuwa rahisi zaidi kunipata...