Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
sante sanaaaa......tango umepata wala usitie shaka...
ankal hulaliiii????
sante sanaaaa......tango umepata wala usitie shaka...
cc@measkron. sist unaibiwa huku.
hahaha naona mpwa ulikuwa unanisaidia kuzinga kombolela!
aaahh!! kwanini ya viuno ndio irukwe shemeg wakati maswali yake ndio yanayotoka sana kwenye mtihani. lol
ankal hulaliiii????
mpwa inabidi kuokoa jahazi nisingeweza kuliacha lizame....lol
mwanaume na viuno shemeg wapi na wapi...
sisi tuna topics zetu shemeg hahaha
njoo ulale na ankal leo.....
shemeg utaachika. hata nyie mnatakiwa kukata viuno ati.
shemeg taratibu atii...sisi tunapekecha sio kukata mauno
yesuu na maria!!!!
bora kama unaweza hata kupekecha shemeg. lol
kushangaa mwisho chalinzeee.....
hivi kidume kinachokata mauno si hata kutembea atakuwa kalegea skrubu zote za kiuno zimeachia...hukawii kuitwa mtoto wa watu!
aaaahhh shemeg mauno yanahusuuuu bana. we umeamua kuyapa jina jingine la kupekecha??! hivi fally pupa amelegea eeehh???
heheh labda nimeyapa jina jingine tu shemeg...
ila hao jamaa wanenguaji huwa nasikia kunako 6 x 6 ni wachovu mno...wakishachovya tu basi ufundi wote wa jukwaani wawatoka...
mmmmmhh!!! ngoja nitafute mmoja wa kuonja then nitakupa feedback. lol
nikikukamata..........
mmmmmhh!!! ngoja nitafute mmoja wa kuonja then nitakupa feedback. lol
Halafu hilo ri staili la mbuzi kagoma kwenda hebu nipashe limekaaje Sweetito.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums