Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Viungo vya kitoweo cha nyama ni tofauti na kitoweo cha samaki.
Samaki ni laini usipokuwa makini analegea nakumomonyoka.
Samaki ni laini usipokuwa makini analegea nakumomonyoka.
Hebu elezea hii kitu kwa urefu kidogoPia limao analikata bila kumenya anaweka na mchaichai
Taste yake ni amazing
Tangawizi, kitungu thaumu na pilipili manga pia unapoanza kuichemsha usiiwekee maji, baada ya kuiosha weka tu viungo ubandike had itakapoanza kuchemka ndio uweke maji
Hii ni ya kuchoma ama ya kuchemsha.ooh this one
Ebu acha kunidhalilisha. Hiv wengi humu wanazaniaga mm dem et!?Nikukute ghetto
Hi kitu kwenye mchemsho wa samaki ni balaa.ni aina fulani ya kiungo kipo km chumvichumvi au chenga za ndimu, maduka yote yanayouza vyakula ukimuuliza atakupatia ni kuanzia 2,000 mpaka 4,000 na zaidi, inapendeza uweke kwenye nyama upate supu
View attachment 1779901
Hii ndio njia yangu kabisa.soya sauce tangamwizi limao au siki na plpl manga..iloweke km lisaa au iache ilale nayo ndani ya frij km ngumu sana.
Mkuu nyama ukishailoweka kwenye mixer ya ndimu,chumvi,kitunguu saumu,tangawizi nyama ukiiloweka kwa liisaa inakuwa inalainika vizurii na kufanya isikae muda mrefu jikoni inakuwa tayaaaaaaaari kwa kuilaHuwa natumia tangawizi na kitunguu swaumu...
Unachanganya na nyama then unaiacha hata nusu saa, unaweka jikoni hivyo hivyo bila maji, ikishatokota ndo utaongeza maji..
Then usiweke moto mkali, uwe moderate tu iive taratibu!
Weka sura vizuri mkuu watu tukuoneEbu acha kunidhalilisha. Hiv wengi humu wanazaniaga mm dem et!?
Mm ni ndio hako 👇👇👇kakuni
View attachment 2087974leo ngoja nijioneshe tu
Itapendeza kama muwe mnachagua mchumba aliyesomea cookery ili kuondoa kero.😃Halafu unaoa limke halijui kupika, NYIEEE..!!