Natamani uelezee mwanzo mwisho mpaka supu hiyo iwe tayariKama ya kuchemsha kwa ajili ya soup au mchuzi ni
1. Limaoau ndimu.
2. Kitunguu swaum.
3. Curry powder.
4.Amaizing mchuzi masala.
Weka viungo vyote changanya iache nyama kwanza iingie viungo.
Kama ya kuchoma weka viungo vya juu vyote ongezea na tangawizi na mafuta ya kula.
Kirungu saum, tangawizi na soy sauce....hii combination huwa naielewa sana harufu kuanzia getini.
Kwanini?Jamani
Soy sauce imenishinda
Sijui Ndo ushamba
Kwanini?
Oooh pole, katika huo mchanganyiko inaleta harufu nzuri sanaHarufu yake
Vinegar kwa KiingerezaSamahani siki ndio nini
Hapo penye mafuta!!Kama ya kuchemsha kwa ajili ya soup au mchuzi ni
1. Limaoau ndimu.
2. Kitunguu swaum...
Labda alimaanisha "edible oil" ambayo kimsingi ni sawa na "cooking oil"Hapo penye mafuta!!
Hakuna kitu inaitwa mafuta ya kula!
Ila ni mafuta ya Kupika/kupikia!
Kiswahili chetu!
ila kiafya haishauriwi kutumia ni very dangerousni aina fulani ya kiungo kipo km chumvichumvi au chenga za ndimu, maduka yote yanayouza vyakula ukimuuliza atakupatia ni kuanzia 2,000 mpaka 4,000 na zaidi, inapendeza uweke kwenye nyama upate supu
View attachment 1779901
staili yangu hii. hapo ikiiva staki tena kuiunga na manyanya, natafuta tu ugali wa dona. very deliciousTangawizi, kitungu thaumu na pilipili manga pia unapoanza kuichemsha usiiwekee maji, baada ya kuiosha weka tu viungo ubandike had itakapoanza kuchemka ndio uweke maji
Hii ni kwa mshikaki au kwa nyama yoyote mkuu?Pia limao analikata bila kumenya anaweka na mchaichai
Taste yake ni amazing
Wakati tunakua tulikuwa tunaiita ndimu ya china!!Ajinamoto ni nini?