kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,905
Wakuu salaam,
Jiji la Dodoma wengi tunapita hapa tukiwa wageni wa viunga/sehemu/maeneo/joints za huduma mbali mbali, ikiwemo maakuli, bar, huduma za afya na sehemu za starehe. Hotels Nzuri zenye huduma bora.
Tunafahamu wapo wenzetu walio tangulia, tupeni michongo.
Nyumba nazo ni hitaji kubwa kwa sasa,.
Kwa upande wangu naanza na sehemu moja ya maakuli, mbele ya makao makuu ya CCM kama unaelekea Airport, mbele ya mataa ya kuongozea magari barabarani.
Mitaa ya chako ni chako, kuku wa kienyeji wanabanikwa vilivyo, usikose pande hizo.
Kwingine ni house of wine kiwandani Dodoma wine
pembeni ya bunge, mvinyo wa kumwaga pande hizo.
Tuendelee kutiririka hapo wakuu.





Jiji la Dodoma wengi tunapita hapa tukiwa wageni wa viunga/sehemu/maeneo/joints za huduma mbali mbali, ikiwemo maakuli, bar, huduma za afya na sehemu za starehe. Hotels Nzuri zenye huduma bora.
Tunafahamu wapo wenzetu walio tangulia, tupeni michongo.
Nyumba nazo ni hitaji kubwa kwa sasa,.
Kwa upande wangu naanza na sehemu moja ya maakuli, mbele ya makao makuu ya CCM kama unaelekea Airport, mbele ya mataa ya kuongozea magari barabarani.
Mitaa ya chako ni chako, kuku wa kienyeji wanabanikwa vilivyo, usikose pande hizo.
Kwingine ni house of wine kiwandani Dodoma wine
pembeni ya bunge, mvinyo wa kumwaga pande hizo.Tuendelee kutiririka hapo wakuu.




