fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 634
- 858
Duniani kuna viumbe vitatu tuu.... vyenye mpangilio sawia kwenye ubongo. Navyo ni:~
A. Binadamu
B. Dolfine
C. Gorilla
Bila kusahau tembo mwenye ubongo mkubwa mno lakini uko fold ndani ya sehemu kubwa 3
( nitaweka nyungu...kwanini wanao ubongo mkubwa mno, ila tunajua tembo uwa wanatembea njia waliyo pita before aijalishi ni kizazi gani but huwa lazima wapite walipo pita once)
Kwa nadharia yangu, hao ndo wanyama au viumbe wenye uwezo mkubwa wa ubongo kufanya kazi kutokana na (complex na emotional bila kusahau critical thinking yao kuwa kubwa, kuliko viumbe vingine duniani)
N. B; naweza kua siko sahihi kulingana na research yangu karibu. Tujifunze....
A. Binadamu
B. Dolfine
C. Gorilla
Bila kusahau tembo mwenye ubongo mkubwa mno lakini uko fold ndani ya sehemu kubwa 3
( nitaweka nyungu...kwanini wanao ubongo mkubwa mno, ila tunajua tembo uwa wanatembea njia waliyo pita before aijalishi ni kizazi gani but huwa lazima wapite walipo pita once)
Kwa nadharia yangu, hao ndo wanyama au viumbe wenye uwezo mkubwa wa ubongo kufanya kazi kutokana na (complex na emotional bila kusahau critical thinking yao kuwa kubwa, kuliko viumbe vingine duniani)
N. B; naweza kua siko sahihi kulingana na research yangu karibu. Tujifunze....