Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,347
Katika hali ya kawaida ofisi yeyote kubwa lazima iwe na msemaji ( spokesperson). Cha kushangaza kila niangaliapo TV kwenye matukio ya uhalifu ambayo Polisi wamefanikiwa kudhibiti. Naona tu ma RPC ndo wasemaji.
Je ofisi hizi za Polisi (Regional Police Headquarters) na ukubwa wote huo hazina wasemaji?
Je ofisi hizi za Polisi (Regional Police Headquarters) na ukubwa wote huo hazina wasemaji?