GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,701
- 109,136
"Kama kuna Kitu ambacho Jeshi la Polisi hatupendi na hatukipendi ni kuona/ kuwaona hawa Polisi Shirikishi (Polisi Jamii) Kutwa wanashinda Vituo vya Polisi. Kisheria na Kiutaratibu wao wanatakiwa wakae tu katika Ofisi za Serikali za Mitaa au za Watendaji na Polisi tukiwahitaji tutawaita ila hatutaki na kwakweli waache kujifanya na Wao ni sehemu ya Polisi" amesema RPC Kamanda Muliro Asubuhi hii akizungumza katika Kipindi Bora cha Mazungumzo ya Familia kutoka Radio One ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake Mkuu na wa Kujiteua Mwenyewe.
Asante sana RPC Kamanda Muliro kwa Kauli hii ila GENTAMYCINE nakuomba nenda pale Kawe Police Station utamkuta Polisi Shirikishi Mmoja aitwae Masai ambaye kwakweli anayoyafanya kwa Watu (hasa ya Kuwaonea, Kuwapiga, Kusingizia Watu Makosa na Kuwaingizia Bangi mifukoni) yamefika mwisho wa Kuvumilika na sasa Watu wa Kawe sasa wanamlia tu timing ajae katika Frame (18 zao) ili wamalize Shughuli Mahema ya Huzuni yawekwe Kwake Kawe Bongo Msoto anakoishi, Nyimbo ya Parapanda iimbwe na akatusalimie huko Jehanam ambako ataenda na siyo kule Paradiso ambako akina GENTAMYCINE ndiyo tutaenda kwani hatuna baya hapa duniani na hata hapa JamiiForums pia.
Asante sana RPC Kamanda Muliro kwa Kauli hii ila GENTAMYCINE nakuomba nenda pale Kawe Police Station utamkuta Polisi Shirikishi Mmoja aitwae Masai ambaye kwakweli anayoyafanya kwa Watu (hasa ya Kuwaonea, Kuwapiga, Kusingizia Watu Makosa na Kuwaingizia Bangi mifukoni) yamefika mwisho wa Kuvumilika na sasa Watu wa Kawe sasa wanamlia tu timing ajae katika Frame (18 zao) ili wamalize Shughuli Mahema ya Huzuni yawekwe Kwake Kawe Bongo Msoto anakoishi, Nyimbo ya Parapanda iimbwe na akatusalimie huko Jehanam ambako ataenda na siyo kule Paradiso ambako akina GENTAMYCINE ndiyo tutaenda kwani hatuna baya hapa duniani na hata hapa JamiiForums pia.