Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
unanigwaya?Nipishe mie
unanigwaya?Nipishe mie
Mkuu acha kbs pale HighWay.
Me wale Mbuzi wao tu, hoi yaani nalalwa kbs.
minyamanyama mipokopokomanjari plus michips,
Yahlaaaa nafwa mieeeeee.
Kuna dar to northen zone(arusha & kilimanjaro) hapa wengine husimama korogwe (transit hotel) au mombo (liverpool restaurant).
achana naye huyo antaka ati!Mmmmmmh
hahahahahahahahahahahhah
futa kauli yako
Mkuu acha kbs pale HighWay.
Me wale Mbuzi wao tu, hoi yaani nalalwa kbs.
minyamanyama mipokopokomanjari plus michips,
Yahlaaaa nafwa mieeeeee.
mie vituo najuaga ndege ikitua kia, then mwanza
mkuu ni balaaaaaa pale minyama huwa nikisafiri tu A town au Moshi na waza highway tu hakuna safari na enjoy kama hiyo mkuu.
Santeeee,
Umenipandisha minyegge ya kula kyukyu.
Da mkuu highway balaaa,hakuna sehemu mbaya kwa chakula kama Gairo kwa njia ya kati mwanza,shinyanga,kahama na bukoba.