Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,307
- 40,110
- Thread starter
-
- #41
Alexander the great mwenyewe ππMwalimu aliomba Elf 45 mwezi uliopita kwaajili ya Uniform ya mtoto (Huyo alisimama chini).View attachment 1809651
Haki ya mungu hatoiona pepo ya mungu.
Yes wazazi hawajui kwamba mtoto unatakiwa umuinspire kusoma ....Yuko kidato cha ngapi. Hakikisha anasoma kadri uwezavyo, mimi mwenyewe nimesoma shule ya kata one zinahesabika kama mbili kila matokeo, two kama tano hivi, three kumi na kitu, four kama ishirini na ngapi na zero zisizohesabika.
Kuna chalii yangu aliongoza kwa two ya 18 shule yao ya kata ambayo haikuwahi pata one. Akamfundisha sana mdogo wake mwaka jana akalamba one ya 12 alafu zikafatia Div. two
Kuna wanafunzi wanakariri nyimbo mitaani.Ila shuleni wanashindwa kukariri .True story.
Kuna dogo alikuwa anafanya vibaya shuleni.
Akapeleka ripoti kwa baba yake. Ripoti mbaya.
Baba akamuuliza, imekuwaje umefanya vibaya hivi?
Mtoto akajibu, mimi sina akili, sina kumbukumbu. Nikisoma nasahau.
Baba akawa kama kakubali jibu. Hakuhoji zaidi.
Siku mbili zikapita, yule mtoto akaona mtu anasoma gazeti. Akaomba yule mtu akimaliza kusoma ampasie gazeti.
Dogo akawa anafunguka, anasema anataka kuangalia msimamo wa ligi, kwani Simba ina pointi hizi, Yanga ina pointi hizi, magoli ya kufunga mangapi, michezo iliyobakia mingapi, akawa anatiririka data nyingi za soccer pale.
Sasa yule baba yake pale pale akamuuliza. Wewe si umesema huna akili, shuleni ukisoma unasahau? Sasa haya mambo ya msimamo wa ligi mbona unayakumbuka vizuri sana?
Baba akasema, wewe tatizo lako si akili, akili unazo nzuri tu, tatizo lako huna interest na shule.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hapo pa H/Work nilishawahi kumkosesha pia swali moja wa kwangu,alinilaumu sana,yeye alikuwa sahihi ila hakuwa na uhakika. Mimi nikampa alternative kumbe ndiyo nimepuyanga.Tangu siku hiyo,akiomba usaidizi inabidi nimuombe anipe muda nijifue kwanza kimya kama sina uhakika.Sitaki kurudia tena lile kosa.
True story.
Kuna dogo alikuwa anafanya vibaya shuleni.
Akapeleka ripoti kwa baba yake. Ripoti mbaya.
Baba akamuuliza, imekuwaje umefanya vibaya hivi?
Mtoto akajibu, mimi sina akili, sina kumbukumbu. Nikisoma nasahau.
Baba akawa kama kakubali jibu. Hakuhoji zaidi.
Siku mbili zikapita, yule mtoto akaona mtu anasoma gazeti. Akaomba yule mtu akimaliza kusoma ampasie gazeti.
Dogo akawa anafunguka, anasema anataka kuangalia msimamo wa ligi, kwani Simba ina pointi hizi, Yanga ina pointi hizi, magoli ya kufunga mangapi, michezo iliyobakia mingapi, akawa anatiririka data nyingi za soccer pale.
Sasa yule baba yake pale pale akamuuliza. Wewe si umesema huna akili, shuleni ukisoma unasahau? Sasa haya mambo ya msimamo wa ligi mbona unayakumbuka vizuri sana?
Baba akasema, wewe tatizo lako si akili, akili unazo nzuri tu, tatizo lako huna interest na shule.
Mpe anachopendaIla hii kitu ni ngumu kukubali
Binti yangu nae ni kama Hana interest na shule kabisa
Ameniomba nimnunulie mdoli ajifunze kusuka
Pamoja na vitu vya makeup
She spends a lot of time doing her hair, nimeongea nimechoka
Anataka heels na magauni ya designs
Anaweza badili nguo hata mara mbili
Hata sielewi namfanyaje akaze shuleni
Hii ilinitokea pia
Tena nikambishia kabisa kwamba unafanya hivi yeye anasema anakumbuka siyo hivyo
Nikamkomalia akaandika jioni karudi page nzima imekatwa
Nikajifanya Nipo busy
Ila hii kitu ni ngumu kukubali
Binti yangu nae ni kama Hana interest na shule kabisa
Ameniomba nimnunulie mdoli ajifunze kusuka
Pamoja na vitu vya makeup
She spends a lot of time doing her hair, nimeongea nimechoka
Anataka heels na magauni ya designs
Anaweza badili nguo hata mara mbili
Hata sielewi namfanyaje akaze shuleni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mwanangu junior yeye lipoti kapoteza na hajui kawa wa ngapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
Hapo umechezewa faulo. ππππNa mwanangu junior yeye lipoti kapoteza na hajui kawa wa ngapi
Zingatia comment ya walimuWatoto ndo wanarudi likizo
Swalehe hapa karudi kawa wa 34 namwuliza imekuwaje umeporomoka toka namba moja ananambia
Baba kwani elfu moja na elfu kumi ipi kubwa nkamjibu elfu kumi
Akanambia Basi sawa mzee , Mimi ndo namba kubwa hapo kuliko wote π na kuliko pacha wake Micaela (yeye kawa wa tano )nmeshindwa kumjibu chochote maana Kuna homework alileta akakosa zote nlifanya nae kwenda shuleni wakamwambia wewe na baba yako wote wajinga π₯π
Nmewaacha na ugomvi hapa yeye na dada ake waamue nani ana namba kubwa π€¦πΎββοΈ
Wewe umekutana na kituko gani ?
Anapenda midoli haswa Teddy bear [emoji3]Nakuja kumpa zawadi
Anapenda nini [emoji16]
Mtoto wa jirani kawa wa 60 kati ya wanafunzi 95 ,huku akiwa na wastani wa 85 na wa kwanza ana wastani wa 98
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JumongMwalimu aliomba Elf 45 mwezi uliopita kwaajili ya Uniform ya mtoto (Huyo alisimama chini).View attachment 1809651
Haki ya mungu hatoiona pepo ya mungu.