Vituko vya wanafunzi wa shule za kata

Mayai mangapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
 
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
Duuhh mama Pendo kumbe alifariki mkuu? Apumzike salama ametu save sana tuliokuwa tunachelewa dining na kukuta ma dish meupe pee.
 
Viongozi wa msosi lazima wafeli
 
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
Daaah umenikumbusha mbali kidogo, baghdadi pale Kuna jamaa alikuwa anaitwa Omary, alikuwa anauza mihogo mizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…