Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Ilitokea siku moja mkinga mmoja mfanyabiashara alipigiwa simu na ndugu yake aliyekuwa amesafiri kwenda mnadani kumtaarifu kuwa amepata "breakdown" ndipo huyu mfanyabishara (mtaarifiwa) anamjibu mwenzake kuwa kama hiyo breakdown inalipa aibebe asiiache.