Vituko vya wakinga ktk biashara

Mbugi

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,488
257
Ilitokea siku moja mkinga mmoja mfanyabiashara alipigiwa simu na ndugu yake aliyekuwa amesafiri kwenda mnadani kumtaarifu kuwa amepata "breakdown" ndipo huyu mfanyabishara (mtaarifiwa) anamjibu mwenzake kuwa kama hiyo breakdown inalipa aibebe asiiache.
 
Ilitokea siku moja mkinga mmoja mfanyabiashara alipigiwa simu na ndugu yake aliyekuwa amesafiri kwenda mnadani kumtaarifu kuwa amepata "breakdown" ndipo huyu mfanyabishara (mtaarifiwa) anamjibu mwenzake kuwa kama hiyo breakdown inalipa aibebe asiiache.

Malizia basi maana hata haueleweki
 
Back
Top Bottom