Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
Msimamizi mmoja wa kituo kimoja cha uchaguzi alimchovya mkono mzima mmoja wa wapiga kura kwenye ule wino wa kuonyesha kuwa mtu amepiga kura badala ya kumchovya kidole tu!! Hii ilitokea baada ya kugundua kuwa mpiga kura huyo amepigia kura chama cha CHADEMA. Mpaka leo hii wino ule haujatoka mkononi mwa yule jamaa!!